Ar/rb/10850/2015: Matapeli wanatumia namba yangu ya Vodacom

Ar/rb/10850/2015: Matapeli wanatumia namba yangu ya Vodacom

Hao ni vodacom wenyewe sio matapeli..haiwezekani tapeli akaja kuswap line iliyopo hewani mkuu. wanashirikiana na wezi hao watu.

na mimi nilitumiwa msg kutoka kwa mtu naemfahamu alafu anaomba hela nitumie kapata tatizo sehemu nikipiga simu haipatika kupiga ya ndugu yake ananiambia jamaa yupo ndani kalala.

anapewa simu naongea nae anasema line yake imefungwa haipatikani..kumuuliza kuhusiana na hiyo pesa anakataa hakunitumia msg.

kama ningetuma ile hela wangetowaje nawakati kuna passwd wizi mtupu
 
mkuu hao umewarembulia sana wanakujibu dry unawaangalia tu wakati watu wanendelea kuibiwa.. hao anza kuongea kuanzia mlangoni wakati unaingia ofisi zao tena kwa sauti kubwa hakikisha kuna watu wengi wakati huo ingia kwa biti moja matata watanyooka hiyo ndo huwa dawa yao ikishindika a wafate makai makuu huku anzia mlangoni hawataleta ushenzi tena
 
tatizo liko tcra mtu ukipata tatizo hatua ya kwanza unalalamika kwenye mtandao husika wakishindwa ndio unaenda tcra lakini cha ajabu tcra wanakurudisha kule ulikotoka urasimu wao ndio unachangia vitendo hivihivi umtukane kiongozi wa chi kupitia tcra wataurudisha kwenye mitandao ya simu kila mara wanajisifu oh tuna itambo inayomonitor mawasiliano lakini mbona wanashindwa kutumia
 
Nimefungua hii Report Book (RB) katika kituo cha Police Central – Arusha hii ni baada ya simu yangu kupoteza mawasiliano siku ya jumamosi 22/08/2015, nikadhani kuwa simu imeharibika kumbe kuna mjanja/ wajanja wame swap number yangu kwa matumizi yao.

Walimpigia mke wangu simu huku kukiwa na mikwaruzo na kutosikilizana hivyo jamaa wakatumtumia wife sms na kumuuliza kwenye simu yake anashilingi ngapi? Akawajibu kiasi cha fedha alichokuwanacho kwenye simu yake. Jamaa wakamrudia kwa sms wakamwambia atume shilingi milioni moja, baada ya majibiziano mda mrefu mke wangu akaawambia hebu nipigia kwenye landline ya ofisini kwangu, hapo jamaa ndipo walipokwama jaribio lao.

Nilipopata taarifa nilienda Vodacom (mkabala na Stanbic Arusha) na kutoa ripoti na niliomba waifunge number na walifanya hivyo.

Cha kushangaza muda si mrefu simu ilirudi hewani na wakaendelea kutapeli watu wanaonipigia, hawajamaa hakuwakuwa wakipoke simu ila wanajibu kwa sms kuwa spika mbovu tuma sms. Halafu wanatuma sms kuwa ninamatatizo na hivyo kuomba kutumiwa hela kwa mpesa.

Leo nimeenda TCRA walaniambia niende Vodacom kupeleka malalamiko yangu.

Nimeenda Vodacom lakini sikupata majibu ya kuridhisha.

Je anetumia hiyo number ana nguvu kiasi gani mpaka ku override Vodacom system ambayo wao Vodacom waliifunga siku ya jumamosi?
Au ni staff wa Vodacom?
Niliomba wajaribu ku trace simu iko wapi sikupata jibu lolote
Nimeomba email kuwa nitume malamiko yangu officially wakaniambia kuwa wao ndio watakaotuma report HQ

Hakikisha unaripoti makao makuu.wewe mwenyewe .hao unaweza kuta wameanza wizi.
 
Lilishanitokea kwangu ila hawakufanikiwa....kuna namna flani wafanyakazi wa voda wanajipatia fedha kwa njia hizo.
 
Nimefungua hii Report Book (RB) katika kituo cha Police Central – Arusha hii ni baada ya simu yangu kupoteza mawasiliano siku ya jumamosi 22/08/2015, nikadhani kuwa simu imeharibika kumbe kuna mjanja/ wajanja wame swap number yangu kwa matumizi yao.

Walimpigia mke wangu simu huku kukiwa na mikwaruzo na kutosikilizana hivyo jamaa wakatumtumia wife sms na kumuuliza kwenye simu yake anashilingi ngapi? Akawajibu kiasi cha fedha alichokuwanacho kwenye simu yake. Jamaa wakamrudia kwa sms wakamwambia atume shilingi milioni moja, baada ya majibiziano mda mrefu mke wangu akaawambia hebu nipigia kwenye landline ya ofisini kwangu, hapo jamaa ndipo walipokwama jaribio lao.

Nilipopata taarifa nilienda Vodacom (mkabala na Stanbic Arusha) na kutoa ripoti na niliomba waifunge number na walifanya hivyo.

Cha kushangaza muda si mrefu simu ilirudi hewani na wakaendelea kutapeli watu wanaonipigia, hawajamaa hakuwakuwa wakipoke simu ila wanajibu kwa sms kuwa spika mbovu tuma sms. Halafu wanatuma sms kuwa ninamatatizo na hivyo kuomba kutumiwa hela kwa mpesa.

Leo nimeenda TCRA walaniambia niende Vodacom kupeleka malalamiko yangu.

Nimeenda Vodacom lakini sikupata majibu ya kuridhisha.

Je anetumia hiyo number ana nguvu kiasi gani mpaka ku override Vodacom system ambayo wao Vodacom waliifunga siku ya jumamosi?
Au ni staff wa Vodacom?
Niliomba wajaribu ku trace simu iko wapi sikupata jibu lolote
Nimeomba email kuwa nitume malamiko yangu officially wakaniambia kuwa wao ndio watakaotuma report HQ
Je umekutana na Police cyber crime department??Pia nenda kwa meneja wa vodacom kitengo cha wateja hata humu Vodacom Tanzania wapo waulize wakupe msaada na kama uko Arusha sijui kama kuna kitengo cha cyber crime kama vipi PM nikuunganishe na Boss wa Police cyber Crime Dar anaweza kukusaidia.
 
Last edited by a moderator:
tatizo liko tcra mtu ukipata tatizo hatua ya kwanza unalalamika kwenye mtandao husika wakishindwa ndio unaenda tcra lakini cha ajabu tcra wanakurudisha kule ulikotoka urasimu wao ndio unachangia vitendo hivihivi umtukane kiongozi wa chi kupitia tcra wataurudisha kwenye mitandao ya simu kila mara wanajisifu oh tuna itambo inayomonitor mawasiliano lakini mbona wanashindwa kutumia
Hapana mkuu unariport kwenye mtandao husika au unaend polise kwakuwa ile ni jinai. TCRA wapo humu watakuja kutuelimisha zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom