OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Wakuu salama!...
Sasa ni wazi wigo wa ushindi unazidi kupanuka baada ya vyama vingine kuamua rasmi kuungana na kambi ya ushindi.
Kwa wadadisi wa kisiasa wanasema kinachotokea kwa sasa ni kile kilichotokea mwaka 2002 Nchini Kenya ambapo vyama karibu vyote vidogo na vikubwa viliungana ili kuizamisha KANU.... Mwaka 2013 vile vile vyama kadhaa vikubwa na vidogo viliungana Nchini Kenya (Jubilee) na kufanikiwa kuitoa Grand Collition ya Mwai Kibaki na Raila Odinga.
Kilichofanyika Kenya, Zambia, Ghana, Malawi ndio kitakachofanyika 25.10.2015 kwa vyama na wananchi wenye kutaka mabadiliko kuitoa chama cha kinyonyaji na chama cha kifamilia (CCM) madarakani.
View attachment 278194
Sasa ni wazi wigo wa ushindi unazidi kupanuka baada ya vyama vingine kuamua rasmi kuungana na kambi ya ushindi.
Kwa wadadisi wa kisiasa wanasema kinachotokea kwa sasa ni kile kilichotokea mwaka 2002 Nchini Kenya ambapo vyama karibu vyote vidogo na vikubwa viliungana ili kuizamisha KANU.... Mwaka 2013 vile vile vyama kadhaa vikubwa na vidogo viliungana Nchini Kenya (Jubilee) na kufanikiwa kuitoa Grand Collition ya Mwai Kibaki na Raila Odinga.
Kilichofanyika Kenya, Zambia, Ghana, Malawi ndio kitakachofanyika 25.10.2015 kwa vyama na wananchi wenye kutaka mabadiliko kuitoa chama cha kinyonyaji na chama cha kifamilia (CCM) madarakani.
View attachment 278194