Appropriate use of honorary doctorate

Appropriate use of honorary doctorate

Kwa watu wanaoielewa Ph.D, kama hutaki kufundisha au kwenda kwenye a very specialized research field, Ph.D ni kutafuta ujiko tu.
Dunia inabadilika, siku hizi kuna kazi nje ya research na kufundisha ambazo zinahitaji PhD, ingawa ni kweli kwa muda mrefu PhD ilitumika zaidi kwa wale wanao kwenda kufundisha vyuo vikuu na research especially USA. Ni kitu cha muhimu pia kama inabidi ujilipie mwenyewe au kutumia mkopo-PhD kwa wengi inakuwa not cost effective nje ya research na kufundisha.
 
Huku kwetu tuna shida sijui ni ulimbukeni... Waalimu wa nje huwa hawataki hata kidogo kuwa adressed by the titles kama Prof au Dr.. hayo utayaona tu atakapokuwa ameandika academic work au publication.. Kuna kipindi maprof wa Sua pale walienda kuintroduce mradi huko mgeta, wako kama watano kila mmoja anajitambulisha naitwa Profesa fulani.. wakulima wakashangaa na kuuliza inakuwaje watu watano wote majina yenu yanafanana?
Hahahaha, umenichekesha sana eti watu watano majina yanafanana.

Kisukuma tuna msemo "mashikolo mageni". Yaani kitu kioya ambacho hukijui vizuri.

Mtu anaweza kutoka Usukumani huko akaja mjini. Hajawahi kuona choo cha flash. Akaingia chooni akaona maji safi yapo kwenye choo cheupee, akafikiri ni kisima akachota na kunywa.

Mashikolo mageni.

Ndiyo hizi habari za kulimbukia Dr. katika non academic settings.
 
Kwanza kabisa unaonekana kukosa maarifa kwa kulinganisha moja kwa moja Ph.D na usomi.

Pili unafanya psychological projection.

Unafikiri kwa sababu wewe una tabia ya wivu, kika mtu ana wivu.

Mimi naishi Marekani.

Mwalimu Ph.Ds ni walimu wa vyuo vikuu.

Walimu wa vyuo vikuu wanaliowa mishahara midogo sana na hawathaminiwi kama huko nchi ambazo elimu ya darasani ni ngeni bado.

Ukiongelea kumuonea wivu mtu kwa sababu ya Ph.D unajionyesha ulimbukeni wako wa kuiweka juu Ph.D.
Naomba nisepe kwa kukueleza kuwa nenda darasani ukapate PhD. Madarasa hayakujengwa kwa ajili ya mijisi. Ukipata PhD utamuunga mkona JPM maana utakuwa umejikomboa. Hivi unadhani Marekani hatuijui au hatujawahi kukaa? Hata kama unakaa mawinguni kama uwezo wa kusoma unao pata PhD achana na sie ambao tumemaliza la saba ni dhiki tu na ukilaza na siye tungepata hizo PhD. Nasepa
 
Huku kwetu tuna shida sijui ni ulimbukeni... Waalimu wa nje huwa hawataki hata kidogo kuwa adressed by the titles kama Prof au Dr.. hayo utayaona tu atakapokuwa ameandika academic work au publication.. Kuna kipindi maprof wa Sua pale walienda kuintroduce mradi huko mgeta, wako kama watano kila mmoja anajitambulisha naitwa Profesa fulani.. wakulima wakashangaa na kuuliza inakuwaje watu watano wote majina yenu yanafanana?
Nimeipenda hii lakini Tz inakwendana na UK na kama sikosei huwa wanakuwa very formal-Profesa ni profesa. Nisichoelewa ni hatamtu akiacha kufundisha chuo bado anang'ang'ania aitwe profesa.
 
Naomba nisepe kwa kukueleza kuwa nenda darasani ukapate PhD. Madarasa hayakujengwa kwa ajili ya mijisi. Ukipata PhD utamuunga mkona JPM maana utakuwa umejikomboa. Hivi unadhani Marekani hatuijui au hatujawahi kukaa? Hata kama unakaa mawinguni kama uwezo wa kusoma unao pata PhD achana na sie ambao tumemaliza la saba ni dhiki tu na ukilaza na siye tungepata hizo PhD. Nasepa
Wewe ni limbukeni. Unaona Ph.D ni kitu cha ajabu kwa sababu kwenu hamna.

Mimi kwetu mpaka mkata majani ninayemuajiri kukata majani kwangu ana Ph.D ya kukata majani na kupanda maua.

Hiyo ndiyo tofauti yako wewe na mimi.

Ph.D ingekuwa na maana hivyo, Magufuli asingejitukana mwenyewe.
 
Hata kama unakaa mawinguni kama uwezo wa kusoma unao pata PhD achana na sie ambao tumemaliza la saba ni dhiki tu na ukilaza na siye tungepata hizo PhD. Nasepa
Sio kila kazi inahitaji PhD. Hivyo kama taifa mnaweza kuwa mnapoteza resources kwa kupata elimu ambayo hamuihitaji. Ingawapo kihalisia haitatokea kuwa kila mwenye uwezo ataenda kusoma PHD kuna mambo mengine ya kufanya na hayahitaji PhD.
 
Dunia inabadilika, siku hizi kuna kazi nje ya research na kufundisha ambazo zinahitaji PhD, ingawa ni kweli kwa muda mrefu PhD ilitumika zaidi kwa wale wanao kwenda kufundisha vyuo vikuu na research especially USA. Ni kitu cha muhimu pia kama inabidi ujilipie mwenyewe au kutumia mkopo-PhD kwa wengi inakuwa not cost effective nje ya research na kufundisha.
Huyu hajitambui hata kidogo. Unapoteza muda bure mkuu Al-Watan
 
Sio kila kazi inahitaji PhD. Hivyo kama taifa mnaweza kuwa mnapoteza resources kwa kupata elimu ambayo hamuihitaji. Ingawapo kihalisia haitatokea kuwa kila mwenye uwezo ataenda kusoma PHD kuna mambo mengine ya kufanya na hayahitaji PhD.
Inawezekana tunazo kaka; lakini nasisitiza ni vyema mtu akawa nayo inaongeza wigo na opportunities katika maisha. Tusiwe kama zamani wafanyabiashara waliona elimu si chochote. Kuna mifano mingi kama akina Joyce Kiria na akina lugumi kama shule zingekuwa zimepanda wangalikuwa mabli kaka
 
Inawezekana tunazo kaka; lakini nasisitiza ni vyema mtu akawa nayo inaongeza wigo na opportunities katika maisha. Tusiwe kama zamani wafanyabiashara waliona elimu si chochote. Kuna mifano mingi kama akina Joyce Kiria na akina lugumi kama shule zingekuwa zimepanda wangalikuwa mabli kaka
Elimu zaidi ingesaidia lakini kwa yale wafanyayo jiulize ni kweli wanahitaji PhD? Sidhani.
 
Back
Top Bottom