Mama Nehemiah
JF-Expert Member
- Sep 9, 2018
- 240
- 433
Habari wakuu.
Naomba kujua kama hii application ya free basics inayowezesha kuperuzi bure mitandao kama Jamii Forum n.k imeondolewa maana nikitaka kuingia haikubali kama zamani.
Naomba kujua kama hii application ya free basics inayowezesha kuperuzi bure mitandao kama Jamii Forum n.k imeondolewa maana nikitaka kuingia haikubali kama zamani.