Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,166
- 3,827
Mkuu nahamia huko soonhalotel burudani
Mkuu nahamia huko soonhalotel burudani
Aisee hii unafanya vipi mi nina halotel nishahangaika sana kuitafuta jamiiforums ila bado siipatiIpo kwa laini ya halotel, tigo wamendoa huduma ya freebasics.
Kuna wakati unaeza kufungua usione jamiiforum usiogope inakuwa imefichwa kwenye list pale chakufanya unapewa option ya kupunguza au kuongeza list za websites kwa hiyo unachotakiwa kuingeza hiyo Jamiiforum na kuendelea kuperuzi.
Ahsanteee kwa kunielewa!!
Mkuu ukishafungua freebasics.com nenda chini kabisa utakuta hivi.Aisee hii unafanya vipi mi nina halotel nishahangaika sana kuitafuta jamiiforums ila bado siipati
Ahsante mkuu nimekuelewaMkuu ukishafungua freebasics.com nenda chini kabisa utakuta hivi.
Kiswahili English
Get the free basics from app for free
•Add more free services( click hapa)
Remove services
Zitakuja oroza za websites ambazo unaweza kuperuzi bila malipo unapewa option ya kutafuta kwa hiyo utaandika Jamiiforum itakuletea matokeo utaigusa na kuingeza kwenye home page ya free basics mode.
Ahsante kwa kunielewa.
Inapiga kazi fresh Tu,ndo nayotumia hapa.naona na halotel sasa ivi freebasics aifanyi kazi tena
Inapiga kazi fresh Tu,ndo nayotumia hapa.