Application letter ya TRA

Application letter ya TRA

Haina shida hiyo cha msingi atafute uchochoro

Sent from my LG-F600K using JamiiForums mobile app
 
Unamkashfu bure tu, jamaa mbona yupo sahihi hzo steps za kutuma barua
Nenda na Technology Unapoteza Mda na Pesa hizo ndo akili nisizotaka ngoja nikutumie mfano wa Document iliyosainiwa kambiaso sasa hivi bila kwenda stationary
 
Nenda na Technology Unapoteza Mda na Pesa hizo ndo akili nisizotaka ngoja nikutumie mfano wa Document iliyosainiwa kambiaso sasa hivi bila kwenda stationary
Binafsi nmescan kwa kutumia simu baada ya kuiandika na ku-sign barua,labda unamaanisha hivyo.
 
Mkono ni bomba

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kusign kwenye karatasi kisha ukapiga picha halafu ukaondoa background ya ile picha kisha ukaingiza kwenye word document yako kama picha. Hope hii itakaa vizur!

Kuondoa background unaweza kudownload application play store au ukatumia Adobe (kwa mweye kuweza)
 
Habari zenu,
Kuna Dogo kaniuliza hapa kuwa hivi application letter ya Tra unaweza kuandika kwa mkono harafu ndiyo uiscan au unatype harafu unaweka signature ndiyo unaiscani?

Mwenye kuelewa please maana mie nimemjibu kuwa yote sawa tuuu shida iwe na signature tuu
Kwa uzoefu wangu mara nyingi hupendelea uandike kwa mkono ....so its better achalaze kwa mkono assign afu ascan na utume

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Kwa uzoefu wangu mara nyingi hupendelea uandike kwa mkono ....so its better achalaze kwa mkono assign afu ascan na utume

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Address waliosema itumike ni
NOTE: APPLICATION LETTER MUST BE SIGNED AND ATTACHED DURING
APPLICATION SUBMISSION BEARING THE FOLLOWING ADDRESS:
THE SECRETARY, PRESIDENT’S OFFICE, PUBLIC SERVICE RECRUITMENT
SECRETARIAT, MAKTABA COMPLEX, 27 BIBI TITI MOHAMED ROAD, P.O.BOX 63100,11102 DAR ES SALAAM
Samahani, kwa mujibu wa TANGAZO adress Inaandikwa ya TRA au ya utumishi.


Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom