Application letter ya TRA

Kidume cha mbegu

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2015
Posts
1,251
Reaction score
710
Habari zenu,
Kuna Dogo kaniuliza hapa kuwa hivi application letter ya Tra unaweza kuandika kwa mkono harafu ndiyo uiscan au unatype harafu unaweka signature ndiyo unaiscani?

Mwenye kuelewa please maana mie nimemjibu kuwa yote sawa tuuu shida iwe na signature tuu
 
sawa tu iwe safi

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 

Atakavyoona yeye ni rahisi ila asisahau kusaini.
 
Siku hizi naona watu wanapendelea kutype kwenye computer..
 
Kuna tofauti kubwa kwanza mwandiko wake ukoje?

Ila kwa sasa na teknolojia ilivyo na kama anatafuta kazi au tenda basi kutype kunahusu kwa sababu ya kuonyesha mengi juu yake. Kama mambo ya kulipa kodi hata kwa mkono sawa tu pia.
 
Kwani ukisema ni wewe ndiye unaye uliza kuna shida gani? tumia njia yoyote unayo ona inafaa
 
Kwa ushauri tu,Type kwenye computer, then scan sahihi yako weka kwenye application letter,kwa ubora zaidi convert application letter kuwa pdf au xps.
 
Type barua hio. Watasoma miandiko mingapi. Weka New times roman 12 size. 1.5 space then print na utie sahahi then scan na u apload

Unapoteza muda kuandika wa mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…