Mtanzania Mkenya
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 238
- 386
Una emergency yoyote na unahitaji pesa kwa haraka? Unahitaji mkopo? BRANCH ni Application iliyoanzishwa na Mzungu kutoka Marekani inayotoa mikopo direct kwenye simu yako. Unachohitaji ni kuDownload Application hii na kujaza maswali utakayoulizwa ikiwemo majina yako kamili, namba ya simu n.k. Mkopo ni instantly unatumiwa kwenye simu yako na wanakupa na repayment period. Application hii inafanya kazi only in Kenya and Tanzania.
Application nyengine inayoendelea kuwanufaisha Wakenya kwa mikopo moja kwa moja kwenye simu ni TALA. Ila siko sure kama hii Application inafanya TZ but unaeza download na kujaribu.
Trust me these applications dont disappont. Unakuwa na hela sasa hivi.
Thank me later. Enjoy ur weekend.
Application nyengine inayoendelea kuwanufaisha Wakenya kwa mikopo moja kwa moja kwenye simu ni TALA. Ila siko sure kama hii Application inafanya TZ but unaeza download na kujaribu.
Trust me these applications dont disappont. Unakuwa na hela sasa hivi.
Thank me later. Enjoy ur weekend.