Vifaa proffesional ni bora zaidi, vinatumia GPS za kulipia ambazo error yake ni ndogo ama tech nyengine ambazo zina accuracy kubwa.Heshima kwenu, natamani kupima shamba langu kwa kutumia app, maana nimeshindwa kuligawa ili nipime kwa futi kamba, anae ijua anijuze
Naomba connection ya surveyor kama huko kwenu ni maeneo karibu na Tanga.Chukua surveyor! Gharama ni ndogo sana! Huku kwetu unampa buku 10 ya kaz na buku 2 ya boda!