jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,990
- 4,356
The guy and his wife Tashfeen are both dead as we speak..Kwani si wamwambie huyo mwenye simu afungue.....au ilikuwaje.....?.....
The guy and his wife Tashfeen are both dead as we speak..Kwani si wamwambie huyo mwenye simu afungue.....au ilikuwaje.....?.....
FBI na hata police wa marekeni wanaweza ila inabidi wajaribu code nyingi kwa mpigo njia ambayo hawako tayari kuitumia maana ni risk kwa upande wa data na wao wanazhitaji data zilizopo.FBI wakitaka kubomoa hiyo encryption na kuingia kwenye hiyo simu hata haiwezi chukua siku mbili, kuna vifaa vya kila aina dunia hii. Tatizo ni kwamba hii issue ina milengo tofauti ikiwemo sheria na uchumi wa Marekani. Kumbuka bidhaa za Apple zimeuzwa kila mahali duniani na zinatumika na watu katika kila nyanja wakiwemo wakuu wa serikali nyingi dunia hii. Sasa FBI wakidhihirisha urahisi wa kudecrypt hiyo simu, basi hapo italeta tension nyingi sana kiuchumi, kibiashara na kisheria.
Hapa naona kama ni kamchezo kanachezwa ili kupatia Apple biashara zaidi, Marekani hajambo kwenye hii mihezo ya biashara na uchumi.
zinatoka vizuri sana kwa siku kumi tu, kailete nikuonyeshe inavyotoka kirahisiMkuu hiyo kitu bado ndio maana iphone 6 yenye icloud inauzwa hata lak mbili
nashukuru kwa kufuatilia zaidi nilikuwa nakulazimisha ufuatilie ili uongeze japo kakitu kidogo... jamaa ana ndoto za kukifanya chama chake kuwa chama cha tatu kwa ukubwa pale america, japo binafsi naonga ndoto yake itachukua miaka mingi sana kutimiaKamanda Mnyikungu kweli hukuchaganya wala kukurupuka ni kweli McFee ni mgombea urais wa Marekani kupitia Libertarian party na anatokea jimbo la Tennessee!! Samahani sana kwa kukuita mkurupukaji ulikuwa sahihi!!
Mkuu ebu kaulize tena maana nahisi umechanganya pass lock na icloudzinatoka vizuri sana kwa siku kumi tu, kailete nikuonyeshe inavyotoka kirahisi
FBI na hata police wa marekeni wanaweza ila inabidi wajaribu code nyingi kwa mpigo njia ambayo hawako tayari kuitumia maana ni risk kwa upande wa data na wao wanazhitaji data zilizopo.
Aiseeee!!! Mkuu si rahisi kivivyoHehehe!! Hamna kitu hapo, waipeleke kule Kariokoo kwa wajanja uone ikifunguliwa tu. Hiyo simu itapigwa ramdisk firmware ambayo itaisukumiza brute-force, japo passcode encryption ni muziki, maana huwa inahifadhi passcode kwenye chip tofauti na ukithubutu kuilazimisha kwa brute-force zaidi ya mara kumi inaingia kwenye self desctruction mode na kuharibu kila kitu.
Lakini wajuzi wa FBI wana uwezo wa kuingia tu, huu ni mchezo unachezwa hapa wa kiini macho.
Anakijua Republic na Democract....kumbe hujui....kabla ya kujibu uwe unajiupdate kwanza... mcfee ni mgombea uraisi kupitia chama kinaitwa libertarian.. ukishathibitisha naomba uje uniombe msamaha kwa kuniita mkurupukaji
Jamaa hawajui kuwa technology zote US zinaanzia jeshini kisha zinakuja uraiani.
nashukuru kwa kufuatilia zaidi nilikuwa nakulazimisha ufuatilie ili uongeze japo kakitu kidogo... jamaa ana ndoto za kukifanya chama chake kuwa chama cha tatu kwa ukubwa pale america, japo binafsi naonga ndoto yake itachukua miaka mingi sana kutimia