Kwanini toleo la nyuma waliita retina then wakaja amoled kisha kurudi retina? Kwanini simu zote wanapoita amoled huwa na muonekano karibu sawa? Mbona hata resolution yake ni ndogo kulinganisha na mwaka Jana walipoita amoled?
Kwanini toleo la nyuma waliita retina then wakaja amoled kisha kurudi retina? Kwanini simu zote wanapoita amoled huwa na muonekano karibu sawa? Mbona hata resolution yake ni ndogo kulinganisha na mwaka Jana walipoita amoled?
Kwanini toleo la nyuma waliita retina then wakaja amoled kisha kurudi retina? Kwanini simu zote wanapoita amoled huwa na muonekano karibu sawa? Mbona hata resolution yake ni ndogo kulinganisha na mwaka Jana walipoita amoled?
Kwanini toleo la nyuma waliita retina then wakaja amoled kisha kurudi retina? Kwanini simu zote wanapoita amoled huwa na muonekano karibu sawa? Mbona hata resolution yake ni ndogo kulinganisha na mwaka Jana walipoita amoled?
Na mkuu super amoled ni brand ya Samsung, Apple hata akitumia same display toka Manufacture mwengine kama Lg haruhusiwi kuiita Super Amoled Ataiita Tu Oled.
Zikianza teardown za kina Ifixit tutajua kila kitu.