Appeal court ruling denounced

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,789
288,013
Appeal court ruling denounced Saturday, 19 June 2010 10:12

By The Citizen Reporters
 
Nilisoma ile ruling ya mahakama nikaona kuwa wanatambua kuwa kuwazuia wagombea binafsi ni makosa, lakini wakaogopa kutoa hukumu sahihi na kudai jambo hilo liamuliwe na bunge. Hapo ndipo nilipoona kuwa Tanzania hakuna pa kukimbilia kama ukionewa na serikali kwani hata mahakama itakuambia rudi mkajadiliane na serikali hiyo hiyo iliyokuonea.

Kifungu cha katiba kinachopingwa na Mtikila vile vile kinakiuka Article 20(2) ya UNIVERSAL DECLARATION OF HUMAN RIGHTS ya Umoja wa Mataifa inayosema kuwa : "No one may be compelled to belong to an association," na Article 21(1) inayosema "Everyone has the right to take part in the government of his country, directly or through freely chosen representatives."

Mahakama Kuu ilitakiwa iangalie swala la haki za binadamu kwa upana zaidi na kuiambia serikali kuwa mmekosea. Cha kushangaza, ni kuwa mahakama yetu pia imekuwa kama ni sehemu ya utawala au inaogopa majukumu yake. Inawezekana majaji wanaogopa kuvuliwa nyadhifa zao na Rais Kikwete.!!!!
 
Nilisoma ile ruling ya mahakama nikaona kuwa wanatambua kuwa kuwazuia wagombea binafsi ni makosa, lakini wakaogopa kutoa hukumu sahihi na kudai jambo hilo liamuliwe na bunge. Hapo ndipo nilipoona kuwa Tanzania hakuna pa kukimbilia kama ukionewa na serikali kwani hata mahakama itakuambia rudi mkajadiliane na serikali hiyo hiyo iliyokuonea.

Kifungu cha katiba kinachopingwa na Mtikila vile vile kinakiuka Article 20(2) ya UNIVERSAL DECLARATION OF HUMAN RIGHTS ya Umoja wa Mataifa inayosema kuwa : "No one may be compelled to belong to an association," na Article 21(1) inayosema "Everyone has the right to take part in the government of his country, directly or through freely chosen representatives."

Mahakama Kuu ilitakiwa iangalie swala la haki za binadamu kwa upana zaidi na kuiambia serikali kuwa mmekosea. Cha kushangaza, ni kuwa mahakama yetu pia imekuwa kama ni sehemu ya utawala au inaogopa majukumu yake. Inawezekana majaji wanaogopa kuvuliwa nyadhifa zao na Rais Kikwete.!!!!


Majaji hawaogopi kuvuliwa nyadhifa zao, wanauhuru na ulinzi wakutosha waliopewa na katiba kwa mujibu wa Ibara 107A na 108. Wanaogopa kunyimwa uongozi wa kisiasa mara baada ya kustaafu nyadhifa zao. Majaji wengi ni wanachama wa chama fulani japo sheria hairusu jaji au hakimu kuwa mwnachama wa chama chochote cha siasa,...Wanaona ni heri kupora haki kuliko kutoswa na chama mara baada ya kustaafu.
 
Back
Top Bottom