App ya Kupatana imekua ya ovyo sana baada ya kui-update

App ya Kupatana imekua ya ovyo sana baada ya kui-update

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,483
Kupatana ni moja ya apps ambazo nazipitia sanaa kila siku na imenisaidia kuachana na changamoto ndogo ndogo za kiutapeli, ila kwa sababu ni mzoefu hilo nalimudu.

WARNING: Kua makini na vitu vya wizi hasa simu.

Turudi kwenye mada, hawa jamaa wameshusha update mpya week ya tatu sasa kama sikosei.

Hii ya Sasa haioneshi Tarehe ya tangazo kuwekwa-hii ilikua inasaidia kutopoteza mda kwa matangazo ya zamani.

Haioneshi location kwa mikoa-hii ilikua inasaidia kutopoteza mda kuhangaikia bidhaa iliyopo mkoa ambao ni ngumu kuipata,

Haioneshi recently items-hii ilisaidia kuwahi bidhaa chap, na vitu vingi hata tu namna ya wall yao ilivyo ni complicated,

Version ya mwanzo kulinganisha na hii ile ilikua imejitosheleza sanaa, bora warudishe ile au wafanyie kazi maboresho kama hayo.

Au kama ni mimi peke yangu ndio naona hayo naomba nielekezwe.
 
Mimi sijaupdate ila version hii niliyonayo tangu wiki mbili nyuma kila nikijaribu kuingia inaniambia kupatana ipo kwenye matengenezo.

Nafikiri labda ndo hayo matengenezo ndo yanasababisha hivyo.
 
Nikitaka kuanzisha huu uzi kama wewe tu kupatana kwa sasa hapafai kabisa

Nimelipa matangazo mara mbili sijapata mteja ila nimelipa tangazo insta masaa 24 nimeuza
 
Nikajua ni mimi tu ndio naona wabe bugi. Pia kutoka kwa graphic designer stand point, combination ya rangi mpya ni mbaya mnooooo.
 
wameharibu bora warudishe ulivyokuwa awali tu
 
Kupatana ni moja ya apps ambazo nazipitia sanaa kila siku na imenisaidia kuachana na changamoto ndogo ndogo za kiutapeli, ila kwa sababu ni mzoefu hilo nalimudu.

WARNING: Kua makini na vitu vya wizi hasa simu.

Turudi kwenye mada, hawa jamaa wameshusha update mpya week ya tatu sasa kama sikosei.

Hii ya Sasa haioneshi Tarehe ya tangazo kuwekwa-hii ilikua inasaidia kutopoteza mda kwa matangazo ya zamani.

Haioneshi location kwa mikoa-hii ilikua inasaidia kutopoteza mda kuhangaikia bidhaa iliyopo mkoa ambao ni ngumu kuipata,

Haioneshi recently items-hii ilisaidia kuwahi bidhaa chap, na vitu vingi hata tu namna ya wall yao ilivyo ni complicated,

Version ya mwanzo kulinganisha na hii ile ilikua imejitosheleza sanaa, bora warudishe ile au wafanyie kazi maboresho kama hayo.

Au kama ni mimi peke yangu ndio naona hayo naomba nielekezwe.
Mimi nikitaka kusign in inagoma inasema Email yangu iko Valid ila limeanza tangia waupdate

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom