Mudugu
Senior Member
- Mar 17, 2018
- 145
- 138
Ndugu wana jf natumaini u wazima wa afya njema
Mojakwamoja niingie kwenye maada
Je hii app ya kotambulisho cha taifa niyakweli Au miyeyusho?
Maanimeiona hiyo app inasambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii
Nimejalibu kuifuatilia haieleweki imenipa wasiwasi kama kuna wanao ijua vizuri
naomba tufahamishane ukweli wa hii app
Mojakwamoja niingie kwenye maada
Je hii app ya kotambulisho cha taifa niyakweli Au miyeyusho?
Maanimeiona hiyo app inasambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii
Nimejalibu kuifuatilia haieleweki imenipa wasiwasi kama kuna wanao ijua vizuri
naomba tufahamishane ukweli wa hii app