APP YA KITAMBULISHO CHA TAIFA

APP YA KITAMBULISHO CHA TAIFA

Mudugu

Senior Member
Joined
Mar 17, 2018
Posts
145
Reaction score
138
Ndugu wana jf natumaini u wazima wa afya njema
Mojakwamoja niingie kwenye maada
Je hii app ya kotambulisho cha taifa niyakweli Au miyeyusho?
Maanimeiona hiyo app inasambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii
Nimejalibu kuifuatilia haieleweki imenipa wasiwasi kama kuna wanao ijua vizuri
naomba tufahamishane ukweli wa hii app
Screenshot_20190906-170856.jpeg
Screenshot_20190906-165731.jpeg
Screenshot_20190906-165812.jpeg
Screenshot_20190906-165857.jpeg
Screenshot_20190906-165915.jpeg
Screenshot_20190906-165938.jpeg
Screenshot_20190906-165953.jpeg
Screenshot_20190906-170011.jpeg
Screenshot_20190906-170134.jpeg
 
Ndugu wana jf natumaini u wazima wa afya njema
Mojakwamoja niingie kwenye maada
Je hii app ya kotambulisho cha taifa niyakweli Au miyeyusho?
Maanimeiona hiyo app inasambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii
Nimejalibu kuifuatilia haieleweki imenipa wasiwasi kama kuna wanao ijua vizuri
naomba tufahamishane ukweli wa hii appView attachment 1200043View attachment 1200044View attachment 1200045View attachment 1200046View attachment 1200047View attachment 1200048View attachment 1200051View attachment 1200052View attachment 1200053
jera
mda

inaondoa uhalali wa hiyo app,wizi tu hapo.
 
Aliyeanzisha hiyo app inaonekana ni tapeli tu ambaye hajamaliza hata darasa la 7.
Paliponitia mashaka ni yale maneno yake ya mwishoni.
Aijasajiliwa.
Jera.
Hahaha kweli mkuu
 
app mnayoitukana pia ndo iliyompa mdogo wangu iyo namba ya NIDA akasajili line....nachokiona apa ni watu kubisha tu bila ata kufatilia
 
app mnayoitukana pia ndo iliyompa mdogo wangu iyo namba ya NIDA akasajili line....nachokiona apa ni watu kubisha tu bila ata kufatilia
sawee225 unaisifia hiyo app yawezekana niyakwako mkuu
Nimeifuatilia nikaiona haileweki.
Hapo mwishoni inasema kabla ya kupata namba ya kitambulisho wasambazie watu nane
Wizi mtupu
 
Hao Matapeli wasiliana na NIDA au nenda Ofisi za NIDA wilaya yako
 

Attachments

  • Screenshot_20190816-223348.png
    Screenshot_20190816-223348.png
    98.8 KB · Views: 35
app mnayoitukana pia ndo iliyompa mdogo wangu iyo namba ya NIDA akasajili line....nachokiona apa ni watu kubisha tu bila ata kufatilia
Yawezekana wametumia taarifa mlizojaza jaza hapo kupata namba yenu ya kitambulisho nida kisha kuwapatia ninyi

Maana kama taarifa zimewafikia nida mtu yoyote anaweza kukusaidia kupata namba as long as awe na majibu ya msawali yoote
 
Back
Top Bottom