Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 1,182
- 1,836
Kwa wanaojua app gani nitumie kudownload kitambulisho cha Taifa?
Msaada kwa wajuzi.
Msaada kwa wajuzi.
HAKUNA HIYO APPKwa wanaojua app gan nitumie kudownload kitambulisho cha Taifa
Msaada kwa wajuzi
Hakuna nduguKwa wanaojua app gan nitumie kudownload kitambulisho cha Taifa
Msaada kwa wajuzi
Unadhani nimekurupuka eti?HAKUNA HIYO APP
Unashingapi..?Kwa wanaojua app gan nitumie kudownload kitambulisho cha Taifa
Msaada kwa wajuzi
Utakuja kutapeliwa kindezi chaliiUnadhani nimekurupuka eti?
Labda umekurupushwa.Unadhani nimekurupuka eti?
Sasa kama hujakurupuka mbona umekuja hapa kuanzisha thread. Kuna hiyo huduma kwenye tovuti HALISI ya NIDA? Kama siyo NIDA waliokwambia hivyo basi achana na hizo harakati.Unadhani nimekurupuka eti?
Unaomba kupewa taarifa halafu unaleta ujuwaji...!!!Unadhani nimekurupuka eti?
Tulia basi mkuu nipate nachotafuta.Sasa kama hujakurupuka mbona umekuja hapa kuanzisha thread. Kuna hiyo huduma kwenye tovuti ya NIDA?
unanipeperushia ndege et acha uchawi mkuu...Utakuja kutapeliwa kindezi chalii
Taarifa ipi iliyoletwa hapo?Unaomba kupewa taarifa halafu unaleta ujuwaji...!!!
Mwambie chalii atulize mawenge, atakuja kuliwaSasa kama hujakurupuka mbona umekuja hapa kuanzisha thread. Kuna hiyo huduma kwenye tovuti ya NIDA? Kama siyo NIDA waliokwambia hivyo basi achana na hizo harakati.
Aina noma jomba. Bonga nayeunanipeperushia ndege et acha uchawi mkuu...
Aniache nitapeliwe kwani pesa za kwake?unanipeperushia ndege et acha uchawi mkuu...
Umeelewa nilichokuandikia?Taarifa ipi iliyoletwa hapo?
Nimeelewa maana wewe ndio hunielewiUmeelewa nilichokuandikia?
jibu sasa unashingapi...?Aniache nitapeliwe kwani pesa za kwake?
50kjibu sasa unashingapi...?
Mtumie