Unamaanisha udownload apps za Android kwenye ios sio? Haiwezekani kwa njia za kawaida.Habari wana jf,
Samahani naweza kupata msaada nikivp naweza ku-download apps zinazo patikana play store ambazo hazipo kwenye app store tafadhari, naomba kuwasilisha
Wanavyosema aifoni ni gereza la kifalme uwe unaelewaHabari wana jf,
Samahani naweza kupata msaada nikivp naweza ku-download apps zinazo patikana play store ambazo hazipo kwenye app store tafadhari, naomba kuwasilisha
Wanavyosema aifoni ni gereza la kifalme uwe unaelewa
Mbadala wake ni upi Chief
Mpaka ujailbreak simu yako uweke iandroidNi njii zipi naweza kutumia mkuu
Haya nadhani umeona ushauri wa chief hapo juuTunaenjoy sana lakini trust me
Haya nadhani umeona ushauri wa chief hapo juu
Mimi nahitaji gbwhatsapp kwenye iPhone nafanyaje