dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,602
- 60,852
yeah ni kweli, nilkua naitumia kipindi flani , ina UI/UX matata sana, na themes selection yake iko poa sana,
yeah ni kweli, nilkua naitumia kipindi flani , ina UI/UX matata sana, na themes selection yake iko poa sana,
Iko vizuri sana sana naomb msaada kuhusu baadhi ya vitu please, kutenga meseji za pamoja na zile za siri pia nimebadili color kua red now nashindwa natamani niweke ingineMi nishawai kutumia app nyingi ila hii nayotumia sasa nimeielewa aisee siiachi hata kwa dawa link hii waweza khidownloadambazo nishawai tumia ni mood messenger, secure sms nk ila hii app nayotunia sasa ni kitimbi inaitwa messenger link hii hapa, ina sehem ya kuficha sms za watu ambao hutak zionekane hata kama amekutumia inakuja na ili kuisoma lazima ikudai password, thems, nk
Recommend a greaaaaat app to you, it's easier and safer. Try to let it replace the old sms messages: Privacy Messenger - Private SMS messages, Call app - Apps on Google Play
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1334433
Sent using Jamii Forums mobile app
features kama zipi ?
Nataka nikitumiwa sms zote nipate notification manake zinaingia kimya kimya tu. Pili niweze kuseti rangi ambayo ni tofauti n red nimejikuta nimeweka red nashindwa itoafeatures kama zipi ?
Mimi nilikuwa natumia KK SMS mwaka juzi, textra sikuipenda na sasa hivi natumia ibuilt in messaging ambayo inapatikana kwenye custom rom.Nataka nikitumiwa sms zote nipate notification manake zinaingia kimya kimya tu. Pili niweze kuseti rangi ambayo ni tofauti n red nimejikuta nimeweka red nashindwa itoa
Ikoje hio mkuu na unafanyaje kuipata natumia note 8 t xiaomiMimi nilikuwa natumia KK SMS mwaka juzi, textra sikuipenda na sasa hivi natumia ibuilt in messaging ambayo inapatikana kwenye custom rom.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mood Messenger kwangu ni the best. Nililipa premium kwa mwaka mmoja, nimeifaidi sanaNilikuwa natumia mood lkn inachelewa kufunguka inaweza kaa sek 5 hadi 10.
Nipo kwenye Textra ipo Fasta sana ila haina features nzuri kama mood.
Ipi nzuri kwako?
Mood niliipenda kwa haya.
-ina simple reply
-ina option ya call
- Ina onesha jina la namba
-ina option ya search
ina features gani nzuri kiongoziMood Messenger kwangu ni the best. Nililipa premium kwa mwaka mmoja, nimeifaidi sana
truecaller wamekuwa wa kibwege kuingilia text wananikela mnoNimekua nikitumia Truecaller ila nayo naona ishaanza kua miyeyusho
Features ni nyingi japo sitaweza ainisha zote.ina features gani nzuri kiongozi
Asanteee iko vizuri na hio ndio raha ya AndroidFeatures ni nyingi japo sitaweza ainisha zote.
1: Unaweza kuicustomize almost 100% kuendana na jinsi unapenda
2:sms back up and restore
3: private box
4:caller identifier
Mi nishawai kutumia app nyingi ila hii nayotumia sasa nimeielewa aisee siiachi hata kwa dawa link hii waweza khidownloadambazo nishawai tumia ni mood messenger, secure sms nk ila hii app nayotunia sasa ni kitimbi inaitwa messenger link hii hapa, ina sehem ya kuficha sms za watu ambao hutak zionekane hata kama amekutumia inakuja na ili kuisoma lazima ikudai password, thems, nk
Recommend a greaaaaat app to you, it's easier and safer. Try to let it replace the old sms messages: Privacy Messenger - Private SMS messages, Call app - Apps on Google Play
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1334433
Sent using Jamii Forums mobile app

features kama zipi ?
yeah ni kweli, nilkua naitumia kipindi flani , ina UI/UX matata sana, na themes selection yake iko poa sana,
Mkuu naomba Textra Pro.Customizing ni kubwa,kusend sms ndefu bila kua converted to mms,ila ninayoipenda mim kweny textra ni ile feature ya sending delay..hii feature makin sana..niliitafuta baada ya kutoa boko siku moja..
Hapo chini ni screenshot jinsi ya sending delay ilivyo,huo mstar mpana unatembea kutoka kwanzo hadi mwisho kisha sms inajituma..huo mstar unatembea kutokana ma delay second ulizo set ww mwenyew,so ukitoa boko ukatuma sms kwa bahat mbaya basi unaweza ku cansel kwa kutumia hiko ki X huko mwishon...
Lakin pia kama hutak ichelewe basi we unaclick tu hyo icon ya send na itatumwa hapo hapo bila kungoja zile delay second hapa incase unajua hujakosea kutuma hiyo sms..
Yalinikuta ndio mana nikaisaka hii feature na sasa nimeipata kweny textra pro
Attachment inagoma inaniambia need valid post ID sjui..ikikubali nitaweka hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Customizing ni kubwa,kusend sms ndefu bila kua converted to mms,ila ninayoipenda mim kweny textra ni ile feature ya sending delay..hii feature makin sana..niliitafuta baada ya kutoa boko siku moja..
Hapo chini ni screenshot jinsi ya sending delay ilivyo,huo mstar mpana unatembea kutoka kwanzo hadi mwisho kisha sms inajituma..huo mstar unatembea kutokana ma delay second ulizo set ww mwenyew,so ukitoa boko ukatuma sms kwa bahat mbaya basi unaweza ku cansel kwa kutumia hiko ki X huko mwishon...
Lakin pia kama hutak ichelewe basi we unaclick tu hyo icon ya send na itatumwa hapo hapo bila kungoja zile delay second hapa incase unajua hujakosea kutuma hiyo sms..
Yalinikuta ndio mana nikaisaka hii feature na sasa nimeipata kweny textra pro
Attachment inagoma inaniambia need valid post ID sjui..ikikubali nitaweka hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu me naomba feature ambayo nitaweza kuficha sms lakini isiwe default appk ambay nitaweza kutumia apk na kule kwa sms za kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba Textra Pro.