Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Kuna jamaa mmoja alikutana na rafiki yake, rafiki akamwambia jamaa hongera bwana una bahati sana, jamaa akauliza kwa nini, rafiki akasema toka umeoa umekuwa milionea, jamaa akasema nipe pole bwana, rafiki akamshangaa akauliza kwa nini, jamaa akamjibu 'kabla ya kuoa nilikuwa bilionea'