MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 496
- 768
Vita ni vita muraa
Acha dharau kulifedhehesha na kashfa kwa jeshi na wanajeshi wa jeshi la ulinzi la wananchi wa TanzaniaBado tunakumbuka wazee wenzetu. Mola awajalie kwa kauli zile na kazi nzuri na uimara wa jeshi lenu.
Aloooooo. Sawa,walipiga kunguru na leo wanaondoa silaha baada ya kumaliza kazi. Unaijua walk of shame?!Acha dharau kulifedhehesha na kashfa kwa jeshi na wanajeshi wa jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania
Oya sikia Sasa hivi akitokea adui akawa anapigana na jwtz, tunaungana na adui. Hata kwa kumpa info tu.Acha dharau kulifedhehesha na kashfa kwa jeshi na wanajeshi wa jeshi la ulinzi la wananchi wa Tanzania
Haya, Mwana Taaluma , una la ziada? Watu walikusanya kila aina ya silaha kisiri siri, leo hii zinaanikwa hadhalani. Tena SADC ishukuru ukalim wa AFC/M23, ingeamua vyote ingebaki navyo mbona.Oya sikia Sasa hivi akitokea adui akawa anapigana na jwtz, tunaungana na adui. Hata kwa kumpa info tu.
Raslimali za nchi zinachezewa na wanasiasa wenyewe wapo tu wanafuga vitambi.
Haiwezekani watu wanatekwa wao wapo tu af wanajiita JESHI LA ULINZI WA WANANCHI .
Wasenge