[7/23, 16:42] Nicko: Kama mtu anasali parokia ya kibangu anijuze Jambo nasikia kuna mtu kapigwa risas
[7/23, 16:42] Nicko: Ni kweli muumini alikuwa anasubili kuingia misa wakati wa matangazo akaja mtu na kumpiga risasi 3 huyo Mzee kwa yupo moi Muhimbili akifanyiwa upasuaji wa kutoa risasi.
[7/23, 16:42] Nicko: Inasemekana huyo kijana aliempiga mkwewe risasi alikuwa na ugomvi na kewe na walikuwa wametengana kwahiyo akahisi babamkwe ndio anaempa binti yake kiburi tumuombee jamani maana ndio yupo muhimbili madactari wanajitahidi kumfanyia operesheni ya kichwa ili waitoe risasi kichwani
[7/23, 16:42] Nicko: Nikweli imetikea leo asubuhi wakati huyo baba anasubir kuingia ibada ya pili ndipo mkwewe aliemuoa mwanae amemfwata babamkwe kwania ya kumsalimu kumbe alikuwa na bastola na kumpiga moja ya kichwani mkononi na tumboni baada ya tukio mtuhumiwa hakukimbia bali aliwaomba waumini wamwitie polisi
germve himself