Hio Aya ya mwisho umeandika nini?Amtumie Abdul ili ampe kibarua cha kusafisha ijapo viatu pale nyumbani kwao.
Inawezekana maana kuna mtu alifunga kamba za viatu Ridhiwani akawa DC.
Nadhani Tanzania tuna Gen Ziro.Huyu ni mfano wa GEN Z wa Tanzania.
Ngoja nikumbuke kwanza.Hio Aya ya mwisho umeandika nini?
Sio minduku ni virukuruHawa vijana minduku sana