cartura
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,026
- 788
anybody hayupo,akija atakushauri!
Kuwa na yule ambaye anakupenda zaidi, anakuthamini zaidi, anakuheshimu zaidi
anakuappreciate zaidi
anakutunza zaidi na anayekukuna zaidi!
realistically speaking, si rahisi kwa sifa zote hizo kuelemea kwa mtu mmoja - anayekupenda zaidi anaweza asiwe na uwezo wa kukutunza or anayekuthamini zaidi anaweza asiwe na uwezo wa kukukuna vizuri... hapo ndio utamu wa ngoma unapoanza sasa ambao solution yake ni wewe mwenyewe kuingia na kuicheza