Umesema mwenyewe "URATIBU" Kinachoongoza nchi ni institutions siyo individuals na institutions ni sera ambayo haiwezi kuwa implemented bila laws...Sasa niambie kama kuna sheria ya mkoa...Ofisi hii ipo chini ya OR TAMISEMI , tambua hilo kwanza.
Msjukumu ya TAMISEMI yapo clear ,, mojawapo ni kuratibu , kusimamia na kutekeleza shughuli za hizi shule.
Mkuu wa mkoa anayeongelewa hapa ni Ofisi yake