Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,915
mwamba kamaliza mkataba wake yanga kuanzia leo
Hivyo klabu inamtakia kila la heri
Naona wakat wa Haji manara sasa
====
Uongozi wa klabu ya yanga umetangaza kuachana na aliyekuwa Afisa Muhamasishaji wa timu hiyo, Juma Khatib Nugaz(Antonio Nugaz) , Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imeeleza Nugaz amemaliza mkataba wake na wameamua kutomuongezea.
Hivyo klabu inamtakia kila la heri
Naona wakat wa Haji manara sasa
====
Uongozi wa klabu ya yanga umetangaza kuachana na aliyekuwa Afisa Muhamasishaji wa timu hiyo, Juma Khatib Nugaz(Antonio Nugaz) , Taarifa iliyotolewa na klabu hiyo imeeleza Nugaz amemaliza mkataba wake na wameamua kutomuongezea.