Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,028
- 54,321
Hichi Kinachofanyika Yanga Bila Shaka Ni Ile Fitna Ngumu
Yaani Ujio Wa Hadji Ndiyo Mikataba Inaisha Haraka Hivyo
Hichi Kinachofanyika Yanga Bila Shaka Ni Ile Fitna Ngumu
Ni Kelvin KKumbe anaitwa JUMA KHATIBU NA SIO ANTONIO
Sisi hatujamkashifu kwamba kasaliti ila Nugaz mkataba wake Umeisha na hatujaona haja ya kumuongezea ila ninyi makolo hata mkataba Manara wa kufanya kazi simba hajawahi kuwa nao
Ila hilo halinishangazi sana coz ni kawaida kwa wanao fanya kazi kwa wahindi huwa ni kwa mali kauli
Duh! Club haiendeshwi kwa shukrani kaka. Isitoshe hawajamtimua, mkataba umeisha.Hao ndio GSM wasio na shukrani
Unadhani kweli mkataba umeisha?Duh! Club haiendeshwi kwa shukrani kaka. Isitoshe hawajamtimua, mkataba umeisha.
Kwann