Huyu mzee wa upako mjanja sana, hapo badala ya watu kuendeleza mjadala wa ulevi wake kitakachofuata ni matamshi yake kuhusu Lowassa ndio yatakayojadiliwa, kausoma mchezo vizuri anajua kucheza na mind za watu!
Kwa kuwa idadi kubwa wanamsapoti Lowassa anajua ili kufuta ile aibu ni kugusa pale ambapo wengi watasapoti!!
Chezea bapa wewe, Bapa inaongeza I.Q...