Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
FAIDA NI KWAMBA ALIZUIA MAFISADI WASIENDE IKULU. FULL STOPPamoja na uongo wako mrefu sana uliojaa mapovu mengi mithili ya mgonjwa wa kifafa , sasa rudi kwenye hoja , Dunia inaomba kujua FAIDA ALIZOPATA DIALLO KWA UONGO ULE WA KARNE ALIOUFANYA .