Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,809
- 218,467
Huyu jamaa ni mwana CCM kama walivyo matajiri wengi wa nchi hii, anamiliki kituo cha TV kama alivyo mwanaCCM mwenzake Reginald Mengi.
Sasa cha kushangaza huyu aliamua kukiuka maadili ya utangazaji, kwa kuamua kuwanyima coverage wagombea wengine na kuwapromote wagombea wa CCM tu na nina hakika kama tungekuwa kwenye nchi zenye kufuata sheria, vyombo vyake vya habari vingekuwa historia.
Nimebaki najiuliza hivi kwa mtu mzima kama huyu kuamua kupotosha umma kwamba ni CCM pekee inayoweza kuleta maendeleo kwa nchi hii HUKU AKIJUA KWAMBA SIYO KWELI (maana uko ushahidi wa wazi kwamba wameshindwa kwa karibu miaka 60, hivyo hawataweza kwa miaka mitano) ALILENGA KUPATA NINI?
Ikumbukwe kwamba kwa watu wa kanda ya ziwa kuangalia STARTV ni kama ibada, hivyo kuitumia kwa malengo ya kupotosha ni hatari sana!
Sasa cha kushangaza huyu aliamua kukiuka maadili ya utangazaji, kwa kuamua kuwanyima coverage wagombea wengine na kuwapromote wagombea wa CCM tu na nina hakika kama tungekuwa kwenye nchi zenye kufuata sheria, vyombo vyake vya habari vingekuwa historia.
Nimebaki najiuliza hivi kwa mtu mzima kama huyu kuamua kupotosha umma kwamba ni CCM pekee inayoweza kuleta maendeleo kwa nchi hii HUKU AKIJUA KWAMBA SIYO KWELI (maana uko ushahidi wa wazi kwamba wameshindwa kwa karibu miaka 60, hivyo hawataweza kwa miaka mitano) ALILENGA KUPATA NINI?
Ikumbukwe kwamba kwa watu wa kanda ya ziwa kuangalia STARTV ni kama ibada, hivyo kuitumia kwa malengo ya kupotosha ni hatari sana!