Ant-Man and the Wasp: Quantumania....

Ant-Man and the Wasp: Quantumania....

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
27,402
Reaction score
54,845
ant-man-quantumania-poster-1666627634.jpg

Wakuu Naomba watalamu wa quantum physics na watalam wenye idea mbali mbali waelezee hii kitu maana nimeshindwa kabisa kuelewa hii concept..

Naomba nielekezwe kupitia hii movie ya ant man...

Ahsante sana
Baba Swalehe Kiranga Vishu Mtata (😂😂😂😂🙌🙌)
 
‎Quantum mechanics inaelezea vitu vidogo zaidi kwenye ulimwengu wetu ambavyo haviwezi kuonekana kwa macho kama molecules, atoms, sub atomic particles (electron, proton, neutron) , Kutokana na idea ya movie ni kuwa kwenye double slit method ambayo walirusha electron kwenye ukuta ambapo wanasayansi walitegemea kuona matokeo ya electron ziwe kama particles ila cha kushangaza zikaonekana zimetengeneza alama kama vile zipo mfumo wa waves, ina maana electron kwenye dunia yetu zinakuwa mfumo wa particles walijaribu kuzi monitor zinaonekana kama particles ila usipo zi monitor zinakuwa kama waves hivyo kwenye dunia yake (quantum world) zinakuwa mfumo wa waves , wanasayansi hawajui ni kwa nini ziwe kwenye mfumo wa waves hivyo wakaja interpretation zao kama vile Copenhagen, pilot wave, na nyingine nyingi ila kuna moja ambayo ndio inasifika sana inaitwa Many world interpretation, kwamba kuna dunia nyingi na ulimwengu mwingi ambao unaweza kuwa kama ulimwengu wetu pia sio lazima uwe mkubwa unaweza kuwa mdogo na kuwa kwenye ulimwengu wa quantum world.
‎Hivyo kwenye movie ant man na familia yake wanatengeneza machine ambayo inaweza kumfanya mtu na vitu vikawa vidogo zaidi kama subatomic particles na huko wanaenda kwenye ulimwengu wa quantum realm, wanakutana na viumbe wanaoishi humo,

‎Ila movie imefocus sana kwenye stori na sio sayansi sana sababu kwenye ulimwengu wa quantum realm laws za physics zipo tofauti sana na ulimwengu wetu, vitu kama muda, gravity vipo tofauti kabisa pia kuna vitu vyengine vya ajabu kama superposition ambapo vitu vinaweza kuwa sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja

‎Mi nimejaribu kuelezea quantum mechanics ninavyoelewa pia kutokana na movie ilivyo, ila kwa ujumla quantum mechanics haieleweki kabisa. Subiri ufafanuzi kwa wanaojua zaidi, Vitu kama Quantum tunneling, String theory, Quantum entanglement, Wave function, Heisenberg uncertnity, Energy Quantization, Superposition
 
‎Quantum mechanics inaelezea vitu vidogo zaidi kwenye ulimwengu wetu ambavyo haviwezi kuonekana kwa macho kama molecules, atoms, sub atomic particles (electron, proton, neutron) , Kutokana na idea ya movie ni kuwa kwenye double slit method ambayo walirusha electron kwenye ukuta ambapo wanasayansi walitegemea kuona matokeo ya electron ziwe kama particles ila cha kushangaza zikaonekana zimetengeneza alama kama vile zipo mfumo wa waves, ina maana electron kwenye dunia yetu zinakuwa mfumo wa particles walijaribu kuzi monitor zinaonekana kama particles ila usipo zi monitor zinakuwa kama waves hivyo kwenye dunia yake (quantum world) zinakuwa mfumo wa waves , wanasayansi hawajui ni kwa nini ziwe kwenye mfumo wa waves hivyo wakaja interpretation zao kama vile Copenhagen, pilot wave, na nyingine nyingi ila kuna moja ambayo ndio inasifika sana inaitwa Many world interpretation, kwamba kuna dunia nyingi na ulimwengu mwingi ambao unaweza kuwa kama ulimwengu wetu pia sio lazima uwe mkubwa unaweza kuwa mdogo na kuwa kwenye ulimwengu wa quantum world.
‎Hivyo kwenye movie ant man na familia yake wanatengeneza machine ambayo inaweza kumfanya mtu na vitu vikawa vidogo zaidi kama subatomic particles na huko wanaenda kwenye ulimwengu wa quantum realm, wanakutana na viumbe wanaoishi humo,

‎Ila movie imefocus sana kwenye stori na sio sayansi sana sababu kwenye ulimwengu wa quantum realm laws za physics zipo tofauti sana na ulimwengu wetu, vitu kama muda, gravity vipo tofauti kabisa pia kuna vitu vyengine vya ajabu kama superposition ambapo vitu vinaweza kuwa sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja

‎Mi nimejaribu kuelezea quantum mechanics ninavyoelewa pia kutokana na movie ilivyo, ila kwa ujumla quantum mechanics haieleweki kabisa. Subiri ufafanuzi kwa wanaojua zaidi, Vitu kama Quantum tunneling, String theory, Quantum entanglement, Wave function, Heisenberg uncertnity, Energy Quantization, Superposition
Weee jamaa nilikua nakuchukulia poa poa tuu kumbe una hatareee...

Sasa mkuu hapo kwenye quantum worlds nataka kuelewa zaidi na zaidi ...

Huwenda hata sisi tukawa tupo kwenye quantum worlds...?

Je hiyo quantum worlds haiwezi kuwa affected na matendo yetu.
Mfano ukawa mdogo mpaka kuweza kuingia kwenye kikombe...

Then ukawa mdogo zaidi ya virus nahisi hapo utakua upo kwenye hyo inaitwa quantum worlds...

Hiko kikombe kikajazwa maji what happen......
 
Huwenda hata sisi tukawa tupo kwenye quantum worlds...?
Hii inaweza kuwa sahihi sababu hta aliyepo huko hawezi kujua kama yupo kwenye quantum realm yeye atahisi yupo kwenye dunia ya kawaida na laws za universe za kule kwake zitakuwa za kawaida tu
Je hiyo quantum worlds haiwezi kuwa affected na matendo yetu.
Mfano ukawa mdogo mpaka kuweza kuingia kwenye kikombe...
sidhani kama tuna weza kuleta madhara kwenye ulimwengu wa quantum sababu ni ndogo mno hata ukirusha mkono huwezi iathiri, hyo sijawahi kuifatulia, na kwenye kuingia kama unaweza ukawa mdogo mno unaweza kwenda ila odds zake itakuwa 0.00000...😁,
Hiko kikombe kikajazwa maji what happen......
Haitakuwa na madhara sababu laws za kwenye quantum world zipo tofauti hivyo kama kuna viumbe huko sidhani kama na wao wanahitaji sana oxygen, huenda kuna hewa nyingine kabisa, na ulimwengu ni mdogo zaidi huenda upo ndani ya molecules za hydrogen na oxygen hivyo maji hayana athari kwao sababu wanaishi ndani ya molecules hzo
 
Hii inaweza kuwa sahihi sababu hta aliyepo huko hawezi kujua kama yupo kwenye quantum realm yeye atahisi yupo kwenye dunia ya kawaida na laws za universe za kule kwake zitakuwa za kawaida tu

sidhani kama tuna weza kuleta madhara kwenye ulimwengu wa quantum sababu ni ndogo mno hata ukirusha mkono huwezi iathiri, hyo sijawahi kuifatulia, na kwenye kuingia kama unaweza ukawa mdogo mno unaweza kwenda ila odds zake itakuwa 0.00000...😁,

Haitakuwa na madhara sababu laws za kwenye quantum world zipo tofauti hivyo kama kuna viumbe huko sidhani kama na wao wanahitaji sana oxygen, huenda kuna hewa nyingine kabisa, na ulimwengu ni mdogo zaidi huenda upo ndani ya molecules za hydrogen na oxygen hivyo maji hayana athari kwao sababu wanaishi ndani ya molecules hzo
Mmmh mmmh mmmh aiseee hatareee sana hapo umenijibu safi kabisa ulipokuja kusema kuwa either wapo ndani ya molecules hapo umeuwa aiseee daaah...

Na hapo tumezungumzia small scale vipi kwa upande wa large scale upoje mkuu au hiyo elimu yenyewe inaitwaje an
 
Poor Brain Dimension mwanzo zilikuwa zikifahamika ni hzo zilizopo kwenye dunia yetu ambazo ni tatu juu/chini, mbele/nyuma, na kushoto/kulia , ila toka zamani wazo la dimension nyingi liliokuwepo toka kwa mwana falsafa wa kigiriki Atomist alihisi huenda kuna dimension na ulimwengu zaidi ya dunia hii pia Hugh Everett (mwana quantum physics aliyekuja na wazo la dunia nyingi pia ilisema huenda kukawa na dimension zaadi ya hapo kwamba kuna ulimwengu wana dimensio 4,5 na kutokana na String theory inasemekana zinaweza kufika mpaka 11 na hzo ni spatial dimension, Einstein akasema Time pia inaweza kusimama kama dimension hivyo kwa dunia yetu tunakuwa na dimension 3 za spatial na moja ya time, na kila dimension inakuwa na uwezo na limit yake mfano sisi tunaweza kwenda juu/chini kushoto/kulia mbele/nyuma ila dimension chini yetu haziwezi kufanya hivyo na limit yetu ni kuwa ukimchukua kiumbe wa 3D na kuweka ukuta mbele yake hawezi kuona kinachotokea ila viumbe wa 4D wao wanaweza kuona kupitia kwenye ukuta
 
Hivyo kwenye Movie baada ya Cooper kwenda kwenye blackhole alitegemea kuingia kwenye Singularity na kutanuliwa mpaka kufa kutokana na Einstein ila Stephen Hawking yeye alisema ukingia kwenye black hole usiwe na wasi wasi sababu alihisi ndani ya singularity kuna wormholes au Einstein rosen bridge inayounganisha ulimwengu kwenda ulimwengu mwingine pia kuna uwezekana black holes zikawa na information ya ulimwengu mzima, hivyo baada ya cooper kwenda ndani ya black hole akakuta kweli kuwa blackholes zina information za ulimwengu mzima hivyo akatuma kwenda kwa mwanae ila information zipo mfumo wa 5D hivyo inakuwa ni challenge kutuma ila Gravity inaweza kwenda dimension yoyote bila shida na energy pia inaweza ku pass through dimension hivyo akatuma ujumbe huo. Tuchukile mfano Ile dark energy ambayo wanasayansi hawajui ni nini kuna wengine wanahisi huenda ni energy ya kawaida kutoka ulimwengu mwingine pengine hata huenda ni gravity na kwa kuwa energy na gravity vinaweza ku pita dimension, au Majini inajulikana ni viumbe wanaoishi kwenye ulimwengu mwingine mi nahisi itakuwa wapo kwenye 4th Dimension hivyo wanaweza kutoona kila kitu kilicho kwenye mwlili wetu mpaka moyo, maini ila hawawezi kuonekna sababu miili yao haisapoti dimension yetu hivyo wanachoweza ni kutumia energy ili kuwasiliana na sisi, hivyo kwenye movie inagundulika kuwa binadamu waliadvance zaidi na kutengeneza lile tesseract ambalo lipo kwenye 5th dimension na inasemekana Viumbe hao wanaweza ku access time na kwenda muda wanaotaka ila wanakuwa limit na Murphy's law "whatever happen will happen" kwamba hata ukijua utapata ajari ukienda mbele ya muda kuzuia ajali hiyo lazima itokee kwa sababu huenda kwenda kwako kujaribu kuzuia ndio kuna sababisha wewe kupata ajari hivyo ilikuwa ni lazima uende mbele kujaribu kuzuia ili ajari itokee. Hivyo cooper ilikuwa ni lazima yatokee yaliyomkuta kwenye ile.safari ili isababishe achukue maamuzi ya kwenda kwenye black hole atume zile coordinate za nasa ili asababishe waende kwenye safari
 
Hivyo kwenye Movie baada ya Cooper kwenda kwenye blackhole alitegemea kuingia kwenye Singularity na kutanuliwa mpaka kufa kutokana na Einstein ila Stephen Hawking yeye alisema ukingia kwenye black hole usiwe na wasi wasi sababu alihisi ndani ya singularity kuna wormholes au Einstein rosen bridge inayounganisha ulimwengu kwenda ulimwengu mwingine pia kuna uwezekana black holes zikawa na information ya ulimwengu mzima, hivyo baada ya cooper kwenda ndani ya black hole akakuta kweli kuwa blackholes zina information za ulimwengu mzima hivyo akatuma kwenda kwa mwanae ila information zipo mfumo wa 5D hivyo inakuwa ni challenge kutuma ila Gravity inaweza kwenda dimension yoyote bila shida na energy pia inaweza ku pass through dimension hivyo akatuma ujumbe huo. Tuchukile mfano Ile dark energy ambayo wanasayansi hawajui ni nini kuna wengine wanahisi huenda ni energy ya kawaida kutoka ulimwengu mwingine pengine hata huenda ni gravity na kwa kuwa energy na gravity vinaweza ku pita dimension, au Majini inajulikana ni viumbe wanaoishi kwenye ulimwengu mwingine mi nahisi itakuwa wapo kwenye 4th Dimension hivyo wanaweza kutoona kila kitu kilicho kwenye mwlili wetu mpaka moyo, maini ila hawawezi kuonekna sababu miili yao haisapoti dimension yetu hivyo wanachoweza ni kutumia energy ili kuwasiliana na sisi, hivyo kwenye movie inagundulika kuwa binadamu waliadvance zaidi na kutengeneza lile tesseract ambalo lipo kwenye 5th dimension na inasemekana Viumbe hao wanaweza ku access time na kwenda muda wanaotaka ila wanakuwa limit na Murphy's law "whatever happen will happen" kwamba hata ukijua utapata ajari ukienda mbele ya muda kuzuia ajali hiyo lazima itokee kwa sababu huenda kwenda kwako kujaribu kuzuia ndio kuna sababisha wewe kupata ajari hivyo ilikuwa ni lazima uende mbele kujaribu kuzuia ili ajari itokee. Hivyo cooper ilikuwa ni lazima yatokee yaliyomkuta kwenye ile.safari ili isababishe achukue maamuzi ya kwenda kwenye black hole atume zile coordinate za nasa ili asababishe waende kwenye safari
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Mkuu we una hatareeee

Sasa kaka kwanini usiwe unaleta nyuzi kama hizi humu mpaka nakukuta kwa nyuzi za binti wa zamani kule.

Daaah an hapa nimesoma naanza kuelewa na ile movie sasa aiseeee an nainjoi sasa maana kuna movie tunaangalia lakini wapi tunatoka patupu aiseeee..

Mkuu nimesoma advanced physics lakini ouna mambo naweza sema kuyaelewa ni magumu mpaka kufa..

Naomba nielekeze hii Singularity na inahusina vipi na uncertainty principle mkuu....

Kuna uhusiano gani kati ya gravity na energy...

Kingine mkuu ni kwanini katika hizi ishu za astronomy wanatumia sana kipimo cha speed ya light na sio kama sisi huku duniani mambo ya km per hour
 
Poor Brain Dimension mwanzo zilikuwa zikifahamika ni hzo zilizopo kwenye dunia yetu ambazo ni tatu juu/chini, mbele/nyuma, na kushoto/kulia , ila toka zamani wazo la dimension nyingi liliokuwepo toka kwa mwana falsafa wa kigiriki Atomist alihisi huenda kuna dimension na ulimwengu zaidi ya dunia hii pia Hugh Everett (mwana quantum physics aliyekuja na wazo la dunia nyingi pia ilisema huenda kukawa na dimension zaadi ya hapo kwamba kuna ulimwengu wana dimensio 4,5 na kutokana na String theory inasemekana zinaweza kufika mpaka 11 na hzo ni spatial dimension, Einstein akasema Time pia inaweza kusimama kama dimension hivyo kwa dunia yetu tunakuwa na dimension 3 za spatial na moja ya time, na kila dimension inakuwa na uwezo na limit yake mfano sisi tunaweza kwenda juu/chini kushoto/kulia mbele/nyuma ila dimension chini yetu haziwezi kufanya hivyo na limit yetu ni kuwa ukimchukua kiumbe wa 3D na kuweka ukuta mbele yake hawezi kuona kinachotokea ila viumbe wa 4D wao wanaweza kuona kupitia kwenye ukuta
Duuuuh hatareee hiii Mkuu...
Kun concept niliona wanasema kuwa watu walio katika 5D wana uwezo wakutoa viungo vytu mwilini bila kupasua
 
wanaangalia nyota, dust na gas zilivyokaa pia ku track movement zake ndio wakaja na hyo conclusion
Duuuuh ulimwengu wa ajabu sana aiseee na vipi kuhusu internal structure ya dunia hiyo elimu nayo inaitwaje mkuu...
 
Naomba nielekeze hii Singularity na inahusina vipi na uncertainty principle mkuu....
Hii nahisi kwa kuwa kwenye singularity ndio laws za universe zinavunjika according to Einstein kwamba hata Time pia huwa unasimama pia nahisi kwa kuwa wanasema huenda kuna hzo wormholes ambazo ni unstable hazitabiriki kabisa
 
Back
Top Bottom