dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,700
- 9,842
Mi navyojua gravity ni force of attraction, sijui hasa uhusiano wako huenda labda ile dark energy wanahisi ndio inayofanya ulimwengu ku expand naKuna uhusiano gani kati ya gravity na energy...
Mi navyojua gravity ni force of attraction, sijui hasa uhusiano wako huenda labda ile dark energy wanahisi ndio inayofanya ulimwengu ku expand naKuna uhusiano gani kati ya gravity na energy...
Hivi kama time itasimama.. inamaana huko hakuna kufa au...Hii nahisi kwa kuwa kwenye singularity ndio laws za universe zinavunjika according to Einstein kwamba hata Time pia huwa unasimama pia nahisi kwa kuwa wanasema huenda kuna hzo wormholes ambazo ni unstable hazitabiriki kabisa
Kuna movie nyingine inaitwa Tenet ukipata muda itafute uicheki humo wameigiza muda una flow tofauti kabisa wametumia concept ya effect inaanza kisha inafata cause, pia muda una flow kinyume kwa watu wengine, nzuri sana ila inachanganyadosho12 angalia hii mkuuView attachment 3483029
Duh ! Hapo sijui mi pia huwa nawaza hivyo ila mwisho wa siku hzo huwa zinabaki concept tu, labda hatazeeka ataishi milele, mfano ulimwengu alikuwepo mungu sidhani kama yeye anatime huenda itakuwa kama hivyo, labda milele ndio inamaanisha muda kusimama kabisa.Hivi kama time itasimama.. inamaana huko hakuna kufa au...
Vipi kuhusu effect ya time kusimama kwa binadamu mkuu
Ile movie sikielewa kabisa mkuu maana niliona kama ipo ki studio sana aiseeee ila ngoja tuone nikaichek upya mkuu...Kuna movie nyingine inaitwa Tenet ukipata muda itafute uicheki humo wameigiza muda una flow tofauti kabisa wametumia concept ya effect inaanza kisha inafata cause, pia muda una flow kinyume kwa watu wengine, nzuri sana ila inachanganya
Ndo hapo inakujaga concept kuwa mungu ni energy..Duh ! Hapo sijui mi pia huwa nawaza hivyo ila mwisho wa siku hzo huwa zinabaki concept tu, labda hatazeeka ataishi milele, mfano ulimwengu alikuwepo mungu sidhani kama yeye anatime huenda itakuwa kama hivyo, labda milele ndio inamaanisha muda kusimama kabisa.
Labda kwa kuwa ni distance kubwa mno kama wakitumia kilometer itakuwa na namba kubwa hivyo wakaona ni simple kutumia light speedKingine mkuu ni kwanini katika hizi ishu za astronomy wanatumia sana kipimo cha speed ya light na sio kama sisi huku duniani mambo ya km per hour
😅😅 zipo ila sio nyingi huwa naangalia sana mada za kenzy na the coder jmaa wanajua tafuta thread zaoSasa kaka kwanini usiwe unaleta nyuzi kama hizi humu mpaka nakukuta kwa nyuzi za binti wa zamani kule.
KENZY nafatilia sana nyuzi zake ...Labda kwa kuwa ni distance kubwa mno kama wakitumia kilometer itakuwa na namba kubwa hivyo wakaona ni simple kutumia light speed
😅😅 zipo ila sio nyingi huwa naangalia sana mada za kenzy na the coder jmaa wanajua tafuta thread zao
Wewe inaelekea una chimba sana haya madude mkuu...Kabisa ila wengi huwa tuna focus sana kwenye story mambo ya sayansi tunawaachia wenyewe 😁
huwa naangalia clip za prof Brian cox, Neil degrasse tyson, Brian Greene, michio kaku huwa wanazungumiz sana mambo ya comsmology hasa kwa kupita podcast za Joe roganWewe inaelekea una chimba sana hata madude mkuu...
Pia mpaka unajua haya madude maana yake pia kisomo.pia upo vzri aiseee
Sijaelewa kitu hapo ahahahahha...huwa naangalia clip za prof Brian cox, Neil degrasse tyson, Brian Greene, michio kaku huwa wanazungumiz sana mambo ya comsmology hasa kwa kupita podcast za Joe rogan
Watazamaji wapo ila challenge huwa inakuja kwenye wachangiaji 😅, mi zilizovuka kidogo na kufika watazamaji wengi ni 1. Fahamu kuusu ndoto na ufahamu 2. Mzunguko halisi wa jua na sayari zinazolizunguka 3. Kubadilika kwa magnetic poles za dunia 4. Fahamu kuhusu dark oxygenSijaelewa kitu hapo ahahahahha...
Sema ntaanza kutafuta maswali naleta hapa ili uwe una jibu kwa ifasaha maana kuna kipindi nataka kuanzisha cha haya mambo naimani ntapata watazanaji wengi tu
Watazamaji wapo ila challenge huwa inakuja kwenye wachangiaji 😅, mi zilizovuka kidogo na kufika watazamaji wengi ni 1. Fahamu kuusu ndoto na ufahamu 2. Mzunguko halisi wa jua na sayari zinazolizunguka 3. Kubadilika kwa magnetic poles za dunia 4. Fahamu kuhusu dark oxygen
Yes walitumia dhana ya time loop "non-linear" na retrocausality kwenye quantum realmKuna movie nyingine inaitwa Tenet ukipata muda itafute uicheki humo wameigiza muda una flow tofauti kabisa wametumia concept ya effect inaanza kisha inafata cause, pia muda una flow kinyume kwa watu wengine, nzuri sana ila inachanganya
Kwa upande wa majini ni mfano nimetoa tu kwa maisha ya kawaida ila sio scientific accurate, nimeona kwa kuwa tunasikia wanaweza kuingia kwenye mwili wa mtu hivyo nikaona niwaweke mfano kama viumbe wa 4th dimension watavyokuwaVipi kuhusu majini unawa zungumziaje hao viumbe he ni kweli wapo au ni nadharia tu
Kwenye ulimwengu mwingine ni nadharia ila iliyo na ushahidi mkubwa, mfano ni hyo experiment ya double slit, pia kwenye parallel universe mfano ni superposition kwamba particle inaweza kuwa kwenye state mbili kwa wakati mmoja hivyo inawezekana kuwa sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja hiyo ikiwa ni kwa small scale hivyo inawezekana kuwa kwa large scale mfano wa dunia, pia ni wazo lilinajadiliwa tuko zamani enzo za wanasalfsa kama Atomist,Wanaishi wapi !? Mnaposema kuwa Kuna ulimwengu mwingine Huwa mnamaana ipi Yaani ni kwamba huo ulimwengu upo nje ya Dunia hii ama niaje !?
Mi kwenye ile movie ambacho sikuelewa ni zile mashine za ku reverse time na silaha kwamba zinatengenezwa future halafu wanazi stream present sikuelewa kiajeYes walitumia dhana ya time loop "non-linear" na retrocausality kwenye quantum realm
Inversion machine kwenye TENET zinafanya dhana ya muda kuwa reverse au kuwa katika mzunguko "cyclical/non-linear/causal loop", hali hii inaibua retrocausality ambapo "matokeo hutangulia visababishi katika mzunguko" yaani "effects precedes cause", hili hupelekea kuwe na muingiliano wa matukio kwenye mzunguko mfano: silaha zilizotengenezwa future kutumika currently, pia inaelezea nadharia ya superposition "double slit" yaani unaweza kuwa una-exist pale "future" na hapa "present" kwa wakati mmoja japo wewe ni nafsi moja (mfano sarafu kuwa na upande wa kichwa na upande mkia)Mi kwenye ile movie ambacho sikuelewa ni zile mashine za ku reverse time na silaha kwamba zinatengenezwa future halafu wanazi stream present sikuelewa kiaje