Alishawahi kumkata nani kwa mfano? Katika nafsi yako unajua kuwa umesema uongoNa ukimuidhi tu,andaa shingo yako kukatwa katikati.
Alishawahi kumkata nani kwa mfano? Katika nafsi yako unajua kuwa umesema uongoNa ukimuidhi tu,andaa shingo yako kukatwa katikati.
Hivi,unawajua hao watu au unacharaza maandishi tu hapa JF?Alishawahi kumkata nani kwa mfano? Katika nafsi yako unajua kuwa umesema uongo
Habari za asubuhi
Hawa waislam wa Ansal sunn sijui ndo inaandikwa hivyo wale wanaovaaga don't touch my shoes aisee wengi wao ni waaminifu ukifanya nao biashara!
Nimeshafanya biashara na wa hivyo zaidi ya watatu nabaki na hela Yao au wao wanabaki na ya kwangu na hatujawahi kuzinguana!!!!
Pokeeni maua yenu!!!
Na ukimuidhi tu,andaa shingo yako kukatwa katikati.
Yeye mwenyewe alishindwa kujiokoa msalabani.atawwza kuniokoa Mimi?WAMJUE YESU KAMA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAO
NI HILO WAMEBAKISHA KUWA SAWA.
Wavue makobazi na kuyaweka kando
Hoyo kitu haina ujanja mrembo😆Hata ukiwapa hawawezi kukubali watafumba macho!!
Ndio udhaifu wao😆Na ukimuidhi tu,andaa shingo yako kukatwa katikati.
Nimeamka poaa! Vipi wee dearCoca umeamkaje?
Wana roho ngumu(mbaya?)hao watu si mchezo.Kuna mmoja aliudhiwa kidogo tu akajimwagia mafuta ya moto yaliyokuwa kwenye karai la kukaangia chipsi.Ndio udhaifu wao😆
Answaar sunnahModerator naomba mrekebishe title andikeni Answar sunn,Sio sunna