Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,692
- 26,199
Ha ha ha.Jamaa unapenda kiki ila kiki haikupendi.
Ha ha ha.Jamaa unapenda kiki ila kiki haikupendi.
Tikisubiri kujiuliza ataenda wapi watu watakwisha. Nadhani kwa vile wanaofanya hayo wanajulikana watu wanasema bora kung'oa gugu moja shambani kuponya miche kumi ya nganoHivi huyu muuaji ataenda Mbinguni kweli?o
God forbid..!
Ungemuelewa sidhani kama ungeandika haya...,Jamaa unapenda kiki ila kiki haikupendi.
''Leo yametoka maagizo mawili''!......Kumbe hawa majambazi wa utekaji huwa wanatoa maagizo!!
Yametoka kwa kichaa mmojaLabda na yeye tumuulize hayo maelezo yametoka kwa nani
Yametoka kwa kichaa mmoja
Mbona yuko vizuri na support kubwa!Jamaa unapenda kiki ila kiki haikupendi.
Sheik Musa na Pengo si wanamwombeaHivi huyu muuaji ataenda Mbinguni kweli?o
Vyombo vyenu vya Uchunguzi vimeshindwa kubaini? Vifuteni kazi, CHADEMA Wala Mbowe Sii Dola kiasi Cha kutoguswa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama vya nchi hii. Tatizo Ni kuwa hilo nalo mlilicheza ninyi wenyewe kwa lengo la kummaliza Mbowe ila mkakosea script, mkageukana, mmeamua ku buy time mkitafakari namna ya kufanya. Mungu anawaona!Mboe atuambie kwa nini mlinzi wake kapotea na mwingine kafia gesti
Peleka polisi hakuna haja ya kelele za kichawi wakati vielelezo unavyo na utakuwa key witness. Hiyo ndio ya uhakika ya kummaliza.Mboe atuambie kwa nini mlinzi wake kapotea na mwingine kafia gesti
Mbona na cheo ameshajipa hukoHivi huyu muuaji ataenda Mbinguni kweli?o
Lazima adhibitishe uhalali wa kuwa uhamishoni...vinginevyo wazungu wanamrudisha mzombe mzombe...!! Ni uhuni anafanyaLabda na yeye tumuulize hayo maelezo yametoka kwa nani