Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Kumbe huyu Mbunge alikua mkamuaji! he got what he deserves..
Polisi huwa wana sababu kwa kila kinachotokea duniani, Polisi ilisema kuwa waliomuua Malcom X walikuwa na ugomvi naye kwa pesa na wanawake. Waliomuu Kombe Tanzania walidai kuwa alikuwa ameiba pesa.
Polisi wa kenya wanacheza the same game hapa.
Kibaki hata ukiua wabunge wa ODM, uchaguzi ukirudiwa si bado ODM watashinda bado hayo majimbo? What a loser