Mtoto wa Mkulima
JF-Expert Member
- Apr 12, 2007
- 683
- 123
Habari zaidi tutawaletea kwa mujibu wa BBc. Stay turned
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Hivi hii si Rwanda inanukia hiiii???????
Kulipiza kisasi???
Naskia ni mauaji wa wivu wa mapenzi- huyu askari pia ameua askari mwingine wa kile ktk gari la mbunge- ambaye alikuwepo ktk gari na inasemekana ni mpenzi wake!
Mambo ya mapenzi- ila inatokea wakati huu wa machafuko ya kisiasa!
Mbunge Mwingine wa ODM ameuawa.
Bila shaka hili si Taifa tena.
Mie nafikiri kuna mkono wa kibaki ili Odinga akubali matokeo na mambo yasonge mbele
Hii sasa noma...
AU na UN wasipochukua hatua za dharura na za mapema sana naona hali ya Kenya inaweza kuwa kama ile iliyotokea Rwanda 1994. Viongozi wa EAC na Afrika kwa ujumla liangalieni hili kwa upana na kwa makini zaidi, tuache kushabikia uroho wa madaraka kwa damu ya raia wasio na hatia, hii ni hatari sio kwa Kenya pekee bali kwa nchi zote majirani, Afrika na Dunia kwa ujumla.