Anniversary ya miaka 15 na mke wa mtu

Noana wanaume mnatishana kwa kutunishiana misuli ya nani atamuwahi mwenzie kumpiga bongโ€™oa .....๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜œ

Mdundane atayeibuka mshindi anaendeleza anniversary mwaka mwingine ...๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Nacheka utadhani mazuri, hii haina tofauti na ule usemi wa...

Muosha huoshwa, kula uliwe.

Niko jikoni napika, mkimaliza kurumbana mje mezani kula.
 
Hapana chief tumeanza ku date wote tukiwa na miaka mitano kwenye ndoa. Tumeenda mbali sana mpaka ndugu zake na mama ananifahamu. Kuna shughuli tuna hudhuria kama couples.
Ni kwamba mumewe hakubaliki kwao mpaka utambuliwe wewe au ni nini?
 
Siku ya jumamosi tarehe 5/6/2021 tutakuwa tunaazimisha miaka 15 ya mahusinano na mchepuko wangu. Kila mmoja ana ndoa yake ila tumebarikiwa kuishi kwa miaka 15 tukiwa kwenye mahusiano bila ya kushtukiwa.

Tunaomba support yenu wadau.


Chifu unaendeleaje na anniversary?

Vipi home Napo mama ameshare anniversary yake ya kitaa??

Hahahahaaaaaa

Hii dunia aisee
 
Eti njemba nayo ina mke wakati mke hafanyi chochote bila ruhusa ya mchepuko. Mume anataka papuchi leo...,,usimpe si unajua tuna kutana weekend? Mwambie wewe unaumwa tukishakutana weekend ndiyo unaweza kumpa
kudadeki dunia haiko fair aiseee
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Miaka 15 unakula mke wa mwenzio imagine ingekuwa wewe ungefurahi? Acha upuuzi wewe sio sifa izo muache mke wa mwenzio usione sifa ya kuongea usenge kama huu.
Uanaume kamili sio kutembea na wake za watu mimi nafanya lkn naheshimu sana mke wa mtu eb acha sio sifa huwezi jua mwenzio kamtoa wapi. Tunajua sote wanawake hawa wengine hawajielewi unamtoa mbali unamtunza mpka anapendeza unagharamikia mpka anaonekana af jamaa mmoja tu anakuja kutoa sifa za kipuuzi juu ya mke wako yani anamnyandua miaka 15 asee acha acha kabisa usione fahari hata kama mwanamke hajitambui anza kujitambua wewe.
Kwani anavyomla inapungua kiasi kwamba itafika mahali itaisha na mumewe ataikosa?
 
Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru ujinga wake........

Mwanadamu anapoachana na matumizi ya fahamu zake anajiweka karibu na mabalaa makubwa pasi na yeye kujua.....Mungu ametupa akili na fikra ili vituongoze kwa faida yetu.......lakini unaporuhusu mahaba yaamue hatima yako jua upo karibu na anguko lako....

DUNIA MSONGAMANO.......
Jiwe hili zito sana
 
Chifu unaendeleaje na anniversary?

Vipi home Napo mama ameshare anniversary yake ya kitaa??

Hahahahaaaaaa

Hii dunia aisee

Hahahaha anniversary imeenda vizuri sana. Tulikuwa kama watu 12 na dada zake.
Najiandaa hapa we are meeting for lunch
 
Back
Top Bottom