mkipewa? msipopewa mnalala doro siyo? haya mmepewa kidole juu, juu tafadhali
Tatizo si ana makinda, tatizo amepata vipi kuwa speaker. naona sasa TZ ni nchi inayoendeshwa kama a small stupid company. Mie naumia sana tena sana.
Hatuwezi kuwa na nchi ambayo watu wanakurupuka tu na kuchagua mtu just because wanataka kuwaridhisha UN kuwa wanawake wanapewa kipaumbele. TZ hatuitaji kwa sasa ku embrace gender au religious interests, we need to keep forward.
Mie kwa hili kikwete anazidi kudhihirisha kuwa he is one of the weakest presidents we v ever got in TZ, the other one being Ali H Mwinyi.
Jamani kwa nini unasema hivyo? Hatulali bana. Si unaona Makinda alikuwa Naibu, Rose Migiro yuko UN nk. Tunaweza bana kama mfumo dume ukitukubali.
Jamani kwa nini unasema hivyo? Hatulali bana. Si unaona Makinda alikuwa Naibu, Rose Migiro yuko UN nk. Tunaweza bana kama mfumo dume ukitukubali.
Viti maalum vya CCM aibu tupu kuna kina mama hata kusoma inakuwa shida... Jamani...
From my heart anna makinda hafai kuwa spika wa bunge hili,
lakini nawashukuru mafisadi kwa kutimiza malengo yao ya kumuondoa former speaker samwel sitta, imeniuma sana,
na hapa ndipo itakapo dhihilisha kuwa wanawake hawafai kupewa madaraka makubwa. I tell you makinda yupo pale kulinda masilai ya mafisadi amini usiamini......................
Mwenye maamuzi pale ccm ni mafisadi, kikwete yupo tu kama kivuli, believe me or not!! Ccm itakua salama pale tu watapokuwa wameondoka lowassa, rostam, kikwete, chenge na wengine wengi....................
Narudia tena kusema makinda hana uwezo wa kuongoza bunge hili, si mlimuona alivyokuwa mbabaishaji bunge lililopita?
Mkuu, hebu lifanyie kazi kisha tuletee data, ingawa halitakuwa na uhusiano sana na utendaji wake.
She served as a back bencher for eight years till 1983 when she was appointed Minister of State in the Prime Minister and First Vice-Presidents Office in charge of policy affairs, disaster management and coordination of government business in the National Assembly (Chief Whip). Ms Makinda says she became minister at a time when the country was faced with a lot of developmental challenges.
Mtoto wa Anna atakuwa mkubwa kuliko huyo Neema. Neema atakuwa ni mtoto wa mke ambaye Prof alimuoa baada ya kuzaa na Anna. Watoto wa Prof kwa mke huyo wamesomea South Africa. I remain to be corrected .
Shikamoo BitiMkongwe!
Hili jina ni size yako kabisa. Hizo zilikuwa ni zama za Kitivo cha Kilimo, Mistu na Udaktari wa Mifugo cha UD. Halafu walikuwa wanakuja wajivuni wa Agricultural Engineering kutoka Main Campus, miaka 2 Main Campus halafu miwili Morogoro. Kaazi kweli kweli!
Sasa nagundua kuwa CCM waliplot kumwondoa the best speaker in the tanzania history, kweli alikuwa wa standard and speed. Kipindi cha 2005 hadi 2010 kila mtanzania alikuwa anajua kinachofanyika bungeni. Ikifika muda wa bunge watu walikuwa wanakimbilia kwenye vyombo vya habari kusikiliza na kuangalia vitu vya Six. Nilipata bumbuwazi kusikia Anne anachuka fomu, hii ina maana ilipangwa kuwa safari hii spika lazima awe a lady.
Marahaba Keil. Ni kweli cheti changu kimeandikwa "University of Dar es Salaam" wala hakuna reference yo yote ya Morogoro - cheti 'legal size' ukitaka kutolesha photocopy mpaka upunguze size to 90%. Enzi hizo SUA haijazaliwa. Graduation ilikuwa pale Engineering Main Campus.
Mamanalia hebu mpeni nafasi huyu mama halafu ndiyo mujudge kwamba amefanikiwa au la. Kwa nini munakuwa pessimistic kwa kila kitu? Huyu alishawahi kuwa mbunge tangu 1975 (I think), Minister, Mkuu wa Mkoa, Naibu Spika - basi bado ashindwe tu?
Hivi Board Membership ni "Employment"?
BTW: Kumbe Anne amehusika na kuua mashirika mengi sana!
(1) National Bank of Commerce Board Member 1978 1983
(2) Surveyors Building Contractors Consultants Board Member 1978 1983
(3) Tanzania Railways Corporation Board Member 1977 1983
(4) Tanzania Legal Corporation Board Member 1977 1983
(5) Mbeya Textile Company Board Member 1977 1983
(6) National Textile Company Board Member 1976 1983
(7) Tanzania Elimu Supplies Board Member 1976 1983
Ndivyo CV yake inavyosomeka
1976 TO 1983 Ni shirika gani lilikufa ZAIDI YA KUFANIKIWA ZAIDI? ushabiki ni ugonjwa mbaya....chongo waweza ita kengeza na mbichi ukaita mbivu na slaa kuitwa rais....BORA MREMA ALIITWA RAIS WA MANZESE
I strongly agree with you mpwa.Nchi hii haithamini elimu ya watu , what counts is who you are connected to rather than your professionalism!!
kaka umechemka huyo ni mume wa Anna Abdallah
ndio maana viwanda kibao vimekufa
mtu mmoja anakuwa boardy memba kwa mashirika zaid ya 3 wa walati mmoja?!
Tatizo si ana makinda, tatizo amepata vipi kuwa speaker. naona sasa TZ ni nchi inayoendeshwa kama a small stupid company. Mie naumia sana tena sana.
Hatuwezi kuwa na nchi ambayo watu wanakurupuka tu na kuchagua mtu just because wanataka kuwaridhisha UN kuwa wanawake wanapewa kipaumbele. TZ hatuitaji kwa sasa ku embrace gender au religious interests, we need to keep forward.
Mie kwa hili kikwete anazidi kudhihirisha kuwa he is one of the weakest presidents we v ever got in TZ, the o
ther one being Ali H Mwinyi.