Anne Semamba Makinda's Profile!

CV ya spika mbona kichefuchefu. Na siku si nyingi atakuwa dokta wa heshima. Miaka yote hiyo ameshindwa kuwa na hata kapostgrad diploma. Ni kilaza tu. Lakini namtakia heri ktk kuendesha bunge. Afterall jina lake zuri "Anne"
 
kama familia itakuwa imara tutajaribu kuamini uwezo wake kama sivyo tabu kwelikweli?
 
Buchanan Mnyalu ni waadilifu wazuri....si unaona hakuna mnyalu kwenye listi ya ufisadi...

Usiangalie watu kwa makabila ndugu utapotea bure! Kama wanyalu ni 'wazuri' hakuna mahakama na vituo vya polisi huko?
 
Masanilo hilo swali lako ni la kizushi ...for the record ndiyo ana mume na watoto!....she is a great mother just FYI....

Nitajibu maswali mawili hapa.

Nimefanya kazi na Anna Wilson Makinda miaka ya 1980s, namjua kidogo. Nimewahi kufika kwao wakati baba yake alikuwa hai, na pia mara moja baada ya baba yake kufariki miaka ya 1990s. Baba yake aliwahi kuwa mkuu wa mikoa kadhaa, nakumbuka Tabora, Ruvuma, Tanga, wakati wa Mwalimu JKN.

Anna hajawahi kuolewa, na wala hana mume sasa. Ana mtoto mmoja wa kike, alizaa na Bwana mmoja (nadhani jina ni Ndunguru) ambaye alikuja kuwa Prof pale SUA. Nadhani ni mtu wa Songea au Ruvuma.

Last time kuonana naye, aliniambia binti yake yuko Marekani na kaolewa na mtu wa huko (siyo m-Tanzania), ila hakusema kama ni mzungu au mweusi. Na mimi sikuuliza.

Anna hana CPA lakini ni trained Auditor na ni mzuri sana katika hiyo kazi.

Ni dada mmoja mwenye heshima sana, uelevu na si msahalifu, hiyo ni ki-binafsi.

Ki-siasa ana mtazamo na msimamo mwingine ambao wakati mwingine unaweza kukuacha unakuna kichwa.

Namtakia mafanikio mema, na nina imani hii kazi ataiweza vizuri tu.
 
Nitajibu maswali mawili hapa.

Nimefanya kazi na Anna Wilson Makinda miaka ya 1980s, namjua kidogo. Nimewahi kufika kwao wakati baba yake alikuwa hai, na pia mara moja baada ya baba yake kufariki miaka ya 1990s. Baba yake aliwahi kuwa mkuu wa mikoa kadhaa, nakumbuka Tabora, Ruvuma, Tanga, wakati wa Mwalimu JKN.

Anna hajawahi kuolewa, na wala hana mume sasa. Ana mtoto mmoja wa kike, alizaa na Bwana mmoja (nadhani jina ni Ndunguru) ambaye alikuja kuwa Prof pale SUA. Nadhani ni mtu wa Songea au Ruvuma.

Last time kuonana naye, aliniambia binti yake yuko Marekani na kaolewa na mtu wa huko (siyo m-Tanzania), ila hakusema kama ni mzungu au mweusi. Na mimi sikuuliza.

Anna hana CPA lakini ni trained Auditor na ni mzuri sana katika hiyo kazi.

Ni dada mmoja mwenye heshima sana, uelevu na si msahalifu, hiyo ni ki-binafsi.

Ki-siasa ana mtazamo na msimamo mwingine ambao wakati mwingine unaweza kukuacha unakuna kichwa.

Namtakia mafanikio mema, na nina imani hii kazi ataiweza vizuri tu.

Nafurahi sana kwa maelezo yako ya kina! Kweli unamfahamu Anna Makinda! Prof wa SUA aliyezaa naye nadhani anaitwa Kapinga huyu naye aliisha fariki dunia nadhani mwaka jana!.Asante sana Kiungani
 
1994-Anna-Semamba-Makind.jpg


Tumeambiwa na CCM kuwa sababu kubwa ya kumchagua Spika Mwanamke ni kuweka historia ya moja ya mihimili mikuu ya Dola kuongozwa na mwanamke. Japokuwa katika zoezi zima CCM imevunja katiba ya CCM na ya Nchi na hata maazimio ya UN ambayo yanakataza kabisa haki za mtu kunyimwa kuchaguliwa kuwa kiongozi kwa misingi ya Dini, Jinsia, Kabila, Rangi n.k. lakini hatimaye kwa ubabe wa CCM hilo limwezekanika na Wanaume wote waliogombea wamekuwa majeruhi wa kikundi cha watu wachache walioasisi "mpango mzima".

Walioshuhudia zoezi hilo walituhabarisha kuwa Mwenyekiti wa CCM Jakaya Kikwete, Yusuph Makamba, Ali Hassani Mwinyi, Abeid Karume, John Malecela na Pius Msekwa walienda chemba kabla ya kuja na mpango mzima. Sina uhakika katika hao waliokwenda chemba ni nani alikuwa mwasisi wa wazo hili na kwa nini iliwalazimu waende chemba katika kikao kile badala ya kuruhusu demokrasia ichukue mkondo wake. Walikuwa na nafasi ya kufanya hayo kabla ya kikao hicho. Je, aliyetoa wazo hilo ni lake binafsi au kuna watu waliomsukuma?

Na je, Anna Makinda ambaye siku za Nyuma alifahamika na kulipotiwa kufanya kazi vizuri na Sitta angewezaje kuja kushindana naye kama hakika alijua boss wake bado alikuwa na nia na hiyo post? Kwa nini Anna Makinda aliibuka ghafla kama Chenge?

Ieleweke kuwa Spika wa Bunge ni No.3 au 4 in Command katika Uongozi wa Nchi baada ya Rais, Makamu, PM? then anafuata Speaker. Je, ikitokea akapata nafasi ya Kukaimu Ukuu wa wa Nchi tutegemee nini?

Anna Makinda ni nani hasa? Mbali ya CV yake standard tunayoifahamu ana kipi cha ziada katika maisha yake au hata cha kuwaonyesha watanzania? Historia yake ikoje? Utendaji wake ukoje? Familia yake, maisha yake n.k.

Katika Thread hii, tunawaomba wote wanaofahamu chochote kuhusu Anna Makinda wakiweke hapa hadharani ili watanzania wamfahamu na wajue ni nini cha kutegemea toka kwake. Tunamwangalia Anna Makinda in Black and White
 
Hii ni kwa hisani ya rafiki yangu Kiungani

Nimefanya kazi na Anna Wilson Makinda miaka ya 1980s, namjua kidogo. Nimewahi kufika kwao wakati baba yake alikuwa hai, na pia mara moja baada ya baba yake kufariki miaka ya 1990s. Baba yake aliwahi kuwa mkuu wa mikoa kadhaa, nakumbuka Tabora, Ruvuma, Tanga, wakati wa Mwalimu JKN.

Anna hajawahi kuolewa, na wala hana mume sasa. Ana mtoto mmoja wa kike, alizaa na Bwana mmoja (nadhani jina ni Ndunguru) ambaye alikuja kuwa Prof pale SUA. Nadhani ni mtu wa Songea au Ruvuma.

Last time kuonana naye, aliniambia binti yake yuko Marekani na kaolewa na mtu wa huko (siyo m-Tanzania), ila hakusema kama ni mzungu au mweusi. Na mimi sikuuliza.

Anna hana CPA lakini ni trained Auditor na ni mzuri sana katika hiyo kazi.

Ni dada mmoja mwenye heshima sana, uelevu na si msahalifu, hiyo ni ki-binafsi.

Ki-siasa ana mtazamo na msimamo mwingine ambao wakati mwingine unaweza kukuacha unakuna kichwa.

Namtakia mafanikio mema, na nina imani hii kazi ataiweza vizuri tu.

Sahihisho nadhani huyo Prof wa SUA ni Kapinga (RIP) na si Ndunguru.
 
Rostam Motion Sparks Heated Debate

17th April 2008; Dodoma - There was drama in Parliament yesterday when MPs demanded an explanation as to why Igunga legislator Rostam Aziz was barred from moving a motion against the Richmond Committee report.

The House was treated to a heated argument between deputy Speaker Anna Makinda and Opposition MPs for about 15 minutes, with the latter calling on Ms Makinda to declare her interests in the issue before responding to their queries.

Source: http://allafrica.com/stories/200804181037.html
 
Anna hajawahi kuolewa, na wala hana mume sasa. Ana mtoto mmoja wa kike, alizaa na Bwana mmoja (nadhani jina ni Ndunguru) ambaye alikuja kuwa Prof pale SUA. Nadhani ni mtu wa Songea au Ruvuma.

Hiyo maneno ina lolote la kujifunza kuhusiana na uadilifu?

Kapinga alikuwa na familia? Au alizaa naye tu?

Seems mtoto wake alisoma nje au kama si hivyo aliendaje huko miaka hiyo? Scholarship?
 
Mama mchapa kazi, mwenye heshima kwa wote na mwenye utu.Background yake ( kifamilia) imemsaaidia kuweza kuchomoza vema kwenye career ya siasa.
Nafurahia hatua aliyoifikia maana anastahili.Hayo mengine yanayosemwa juu yake ndio kwanza nayasikia hapa JF.Ukali bungeni etc.Nadhani kila mtu ana style yake ya kufanya kazi. Nijuavyo - ni mtu yuko principled which can be interpreted as rigid.
 
Hiyo maneno ina lolote la kujifunza kuhusiana na uadilifu?

Kapinga alikuwa na familia? Au alizaa naye tu?

Seems mtoto wake alisoma nje au kama si hivyo aliendaje huko miaka hiyo? Scholarship?

Kama ni Prof Kapinga aalikuwa na mke wa ndoa na watoto wake! Aliishatangulia kwenye hukumu ya haki.
 
IMG_6819.jpg


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua majengo ya shule ya sekondari ya wasichana ya Anna Makinda katika kijiji cha Kilocha,Ihunda, wilayani Njombe

 
Mama mchapa kazi, mwenye heshima kwa wote na mwenye utu.Background yake ( kifamilia) imemsaaidia kuweza kuchomoza vema kwenye career ya siasa.

Nafurahia hatua aliyoifikia maana anastahili.Hayo mengine yanayosemwa juu yake ndio kwanza nayasikia hapa JF.Ukali bungeni etc.Nadhani kila mtu ana style yake ya kufanya kazi. Nijuavyo - ni mtu yuko principled which can be interpreted as rigid.

Background yake kifamilia ikoje?
 
Nitajibu maswali mawili hapa.

Nimefanya kazi na Anna Wilson Makinda miaka ya 1980s, namjua kidogo. Nimewahi kufika kwao wakati baba yake alikuwa hai, na pia mara moja baada ya baba yake kufariki miaka ya 1990s. Baba yake aliwahi kuwa mkuu wa mikoa kadhaa, nakumbuka Tabora, Ruvuma, Tanga, wakati wa Mwalimu JKN.

Anna hajawahi kuolewa, na wala hana mume sasa. Ana mtoto mmoja wa kike, alizaa na Bwana mmoja (nadhani jina ni Ndunguru) ambaye alikuja kuwa Prof pale SUA. Nadhani ni mtu wa Songea au Ruvuma.

Last time kuonana naye, aliniambia binti yake yuko Marekani na kaolewa na mtu wa huko (siyo m-Tanzania), ila hakusema kama ni mzungu au mweusi. Na mimi sikuuliza.

Anna hana CPA lakini ni trained Auditor na ni mzuri sana katika hiyo kazi.

Ni dada mmoja mwenye heshima sana, uelevu na si msahalifu, hiyo ni ki-binafsi.

Ki-siasa ana mtazamo na msimamo mwingine ambao wakati mwingine unaweza kukuacha unakuna kichwa.

Namtakia mafanikio mema, na nina imani hii kazi ataiweza vizuri tu.

Professor Bruno Ndunguru ni Mmatengo wa Mbinga ambaye alikulia na kusoma shule za awali Mbeya na anakizungumza kinyakyusa vizuri sana. Alikuja oa bibi shamba binti wa kabila la kimbulu (jina lipo). mara ya mwisho kumuona Prof. alikuwa Mafinga akifanya kazi na mashirika ya kimataifa kwenye mashamba ya chai.

Baba yake Anna alikuwa kati ya ma RC wa mwanzo mahili na Jasiri sana. Aliweza igeuza sura ya Tabora City ya kale kuwa ya kisasa. Chonde chonde Anna tafadhali aige ujasiri wa baba yake na asimezwe na mafisadi ambao ni adui wakubwa wa nchi hii. wasije kuweka fukoni mwao - baba yake "alipigana nao" na ndio maana alikuwa kipenzi cha Mwalimu Julius Nyerere
 
Miaka minne chuoni badala ya mitatu.....hayo ni mambo ya supplementary na kurudia mwaka...tuachane nayo! Cha msingi atatenda haki bungeni? Taifa letu kupitia serikali yake lipo icu. Bunge ndilo linaloweza kulitoa icu kwa tiba kupitia serikali na hatimaye kulirudishia taifa letu afya na heshima. Anne ana nafasi ya kuliondoa taifa icu kama atasimamia haki na si ufisadi. Akifanya hilo nadhani atakuwa mama wa kwanza wa taifa la tanzania ambayo itakuwa heshima kubwa kwake. Je anne makinda ataingia katika vitabu vya historia ya tanzania kwa mambo mazuri au ya aibu kwa kulipiga taifa letu sindano ya sumu life au kulitibu lipone.....
 
Acha mama apete bana tusubiri tuone uwezo wake tusimhukumu kabla ya matukio oh sorry matokeo ya utendaji kazi.
 
Back
Top Bottom