Mandingo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 5,844
- 7,617
Habari nzuriKuna taarifa kuwa Anna Maulidah Valerian Komu, ambaye alikuwa ni mmoja kati ya walalamikaji katika shauri la mgawanyo wa rasilimali za CHADEMA, amefariki dunia. Mazishi yatakuwa kesho.
Mama huyu alikuwa mgombea mwenza wa Mzee Freeman Mbowe katika uchaguzi mkuu wa 2005, amekuwa mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA na Mwenyekiti Bodi ya Wadhamini CHADEMA.
View attachment 3581148
View attachment 3581181