TANZIA Anna Maulidah Komu Afariki Dunia

TANZIA Anna Maulidah Komu Afariki Dunia

Ntasherekea badae kwenye kuangalia derby kwa kunywa bia na kuchoma mbuzi na kuku...
 
Kuna wale watu mitandaoni wanaosema kuwa Cdm n Mpango wa Mungu
Kwahy kwa yeyote anayetaka ifutwe atafutwa yy kwanza na Cdm itaendelea kubaki

Sasa wamepata msitari wa kusimamia
 
Kuna taarifa kuwa Anna Maulidah Valerian Komu, ambaye alikuwa ni mmoja kati ya walalamikaji katika shauri la mgawanyo wa rasilimali za CHADEMA, amefariki dunia. Mazishi yatakuwa kesho.

Mama huyu alikuwa mgombea mwenza wa Mzee Freeman Mbowe katika uchaguzi mkuu wa 2005, amekuwa mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA na Mwenyekiti Bodi ya Wadhamini CHADEMA.
View attachment 3581148

View attachment 3581181
Maisha ya hapa duniani ni mafupi sana. Sasa mama kachukua pesa za hongo ili awakwamishe Chadema, pesa kaacha wengine waendelee kula. Leo ana pigwa kifusi.
Shenzi kabisa.
Nasikia kuna na mwingine kapigwa kiharusi ana subiri kuimbiwa parapanda.
Mta kwisha wote,, mbwa nyie.
 
Anna Valerian Komu alizaliwa katika kijiji cha Okaseni, kilichopo kwenye kata ya kimanganuni kwenye wilaya ya Moshi vijinini, Alikotokea Antony Komu ambaye aliwahi kuwa Mtunza hazina wa CHADEMA na mbunge wa Moshi vijijini.
Aliolewa huko Zanzibar. Ni Mchagga.
 
Anna Valerian Komu alizaliwa katika kijiji cha Okaseni, kilichopo kwenye kata ya kimanganuni kwenye wilaya ya Moshi vijinini, Alikotokea Antony Komu ambaye aliwahi kuwa Mtunza hazina wa CHADEMA na mbunge wa Moshi vijijini.
Aliolewa huko Zanzibar. Ni Mchagga.
This time around watu wapo serious sana! "usiketi kwenye meza za wenye mizaa..."

Zaburi 1:1
  • Wenye dharau: Watu wanaocheka au kubeza mambo au kanuni za kimaadili.
  • Wenye kiburi: Wale wanaoona kuwa wanajua kila kitu na kudhihaki ushauri wa busara au maonyo.
  • Washawishi wabaya: Kikundi cha watu kinachoweza kumfanya mtu aanze kuona dhambi au tabia mbaya kuwa ni jambo la kawaida au la kuchekesha.
 
Tuombe sana kuijiriwa na hekima ya Mungu.
Maisha ya mwanadamu ni mafupi, na kama tungelilijua hili kwa hekima, kila mmoja katika muda huo mfupi angejitahidi kutenda mema.
Tumeambiwa kuwa maisha ni fumbo, lakini kuna watu wanaamini wataishi Duniani milele..Tumeshindwa kuelewa pale tulipoambiwa kuwa ukuu wa Mungu ni wa ajabu, ebu angalia:
Mtu kama Lisu aliyemiminiwa risasi 31, 16 zikaingia mwilini, bado anaishi, halafu wengi ambao hawakuguswa hata na fimbo, hawapo tena.
Tuombe hekima:
Pesa na madaraka ni vitu vya kupita, unaweza kuhangaika sana kuvipata, tena kwa kuwadhulumu wengine, lakini mwishowe ukaviacha. Tafuta hela, tafuta madaraka kama unataka, lakini usikubali kupumbazwa akili hata ukavitafuta vitu hivyo kwa kudhulumu watu wengine.

Pole sana wanafamilia, ndugu na marafiki wa Komu. Ameimaliza safari yake, akitukumbusha tuiliopo bado Duniani.
 
Kuna taarifa kuwa Anna Maulidah Valerian Komu, ambaye alikuwa ni mmoja kati ya walalamikaji katika shauri la mgawanyo wa rasilimali za CHADEMA, amefariki dunia. Mazishi yatakuwa kesho.

Mama huyu alikuwa mgombea mwenza wa Mzee Freeman Mbowe katika uchaguzi mkuu wa 2005, amekuwa mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA na Mwenyekiti Bodi ya Wadhamini CHADEMA.
View attachment 3581148

View attachment 3581181
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana!
 
Kwa hyo amekufa kwa sababu aliishtaki chadomoghasia?
Yaani mnajipa umhimu hadi shida.

Haya naibu mungu wa meriba.
Screenshot_20251217-065939~2.png
 
Mama Maulidah Anna Komu amefariki dunia. Alijiunga na Chadema mwaka 1993 akitokea CCM. Chadema ilimpa fursa mbalimbali za uongozi ikiwemo Ubunge wa viti maalumu, Waziri kivuli wa maendeleo ya Jamii, Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini, na baada ya kufariki kwa aliyekua Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini, Sylvester Masinde mama Komu alikaimu nafasi hiyo kwa muda. Hata hivyo, mwaka jana Bi.Maulidah Komu kwa kushirikiana na wajumbe wengine wa Bodi ya Wadhamini ambao ni Ahmed Rashid Khamis na Said Issa Mohamed, walifungua kesi ya mgawanyo wa mali za Chadema katika shauri la madai namba 8960 la mwaka 2025. Katika kesi hiyo waliomba Mahakama izuie Chadema kufanya shughuli zozote za kisiasa na viongozi wake wazuiwe kutumia mali za chama. Mahakama kuu iliweka zuio kwa viongozi wa Chadema kufanya shughuli zozote za kisiasa na wale waliojaribu kufanya japo vikao vya ndani walikamatwa na Polisi. Pia mahakama ilizuia mali za Chadema zisiguswe, hali iliyosababisha ofisi na magari kuharibika kwa kutotumika kwa muda mrefu. Amri hiyo ilidumu kwa takribani mwaka mmoja kabla ya kufutwa na Mahakama ya rufani mwezi April mwaka huu. Kama hiyo haitoshi tarehe 04 Oktoba 2025, Maulidah Komu na wenzake walifungua shauri dogo la kuomba mahakama itoe amri ya kuwakamata na kuwashikilia Viongozi wa CHADEMA, akiwemo Makamu Mwenyekiti John Heche, Katibu Mkuu John Mnyika, na viongozi wengine wakiwemo Godbless Lema, Rose Mayemba, Brenda Rupiah, Hilda Newton, Twaha Mwaipaya na Gervas Lyenda kwa madai ya kukiuka amri ya Mahakama. Maombi hayo yaliwasilishwa mbele ya Jaji Hamidu Mwanga. Baada ya yote hayo, hatimaye Mama Maulidah Anna Valerian Komu amehitimisha safari yake duniani usiku huu, na anatarajiwa kuzikwa kesho. Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un" (إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ) 🙏🏽
Aliyetumiwa na msajiri wa ccm should her soul rest in hottest hell.
 
Kuna taarifa kuwa Anna Maulidah Valerian Komu, ambaye alikuwa ni mmoja kati ya walalamikaji katika shauri la mgawanyo wa rasilimali za CHADEMA, amefariki dunia. Mazishi yatakuwa kesho.

Mama huyu alikuwa mgombea mwenza wa Mzee Freeman Mbowe katika uchaguzi mkuu wa 2005, amekuwa mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA na Mwenyekiti Bodi ya Wadhamini CHADEMA.
View attachment 3581148

View attachment 3581181
rambirambi zinakusanywa chadema HQ au?

R.I.P Anna Maulidah Komu
 
Back
Top Bottom