Nimesikia habari mtaani kuwa lile kundi lililomuweka huyu mama katika kiti cha uspika lina mpango wa kumpa sapoti ya urais 2015, endapo mtu wao wanaemtegemea hatafanikiwa kupata nafasi ya kugombea ndani ya chama.
Hizi ni habari zinazoongelewa mtaani sina source ya uhakika!!!
Hizi ni habari zinazoongelewa mtaani sina source ya uhakika!!!