Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,271
- 9,900
Gazeti la Dira la leo limewataja wabunge wanasadikiwa kulamba mlungula ambapo kwa mujibu wa gazeti hilo wamo Zitto kabwe ambaye anatajwa kuwa na ukwasi wakutisha ikiwapo nyumba kadhaa na magari ya kifahari, wengine waliotajwa ni Ole Sendeka na Mama Kilango Malecela ambao ndiyo wapiga kekele wakubwa wa ufisadi kumbe usanii mtupu.
Kwaupande mwingine Katibu mkuu wa CDM Dr. Slaa amesema ikiwa itabainika wabunge wake walipokea rushwa hutua kali za kichama zitachukuliwa dhidi yao.
UPDATE
Baadaya Tindu Lisu kuongea na wanahabari jana na kutaja Wajumbe wa kamati za bunge waliohusika na kuchukuwa rushwa na kufanya biashara na Tanesco, Olesendeka amemtaka kwa kuomba muongozo kwa spika amruhusu amshitaki Lisu ali athibitishie mahakama ushiriki wakwe wa kuchukuwa shushwa,
Hata hivyo Spika amesema jambo hilo linafanyiwa kazi na kamati ya maadili hivyo Lisu ataitwa kuleta ushahidi wake kwa wale aliyowataja.
Kwaupande mwingine Katibu mkuu wa CDM Dr. Slaa amesema ikiwa itabainika wabunge wake walipokea rushwa hutua kali za kichama zitachukuliwa dhidi yao.
UPDATE
Baadaya Tindu Lisu kuongea na wanahabari jana na kutaja Wajumbe wa kamati za bunge waliohusika na kuchukuwa rushwa na kufanya biashara na Tanesco, Olesendeka amemtaka kwa kuomba muongozo kwa spika amruhusu amshitaki Lisu ali athibitishie mahakama ushiriki wakwe wa kuchukuwa shushwa,
Hata hivyo Spika amesema jambo hilo linafanyiwa kazi na kamati ya maadili hivyo Lisu ataitwa kuleta ushahidi wake kwa wale aliyowataja.