Anna Kilango na mamilioni yaliyo porwa ilikuwaje?

Anna Kilango na mamilioni yaliyo porwa ilikuwaje?

Kwanza nampa pole Ana Kilango kwa kuumwa na apate nguvu mapema arudi nyumbani.Natoa hongera kwa JF kuweza kuwapo tena baada ya Mwema kuamua kutaka kutuzima na mwisho poleni sana na Hongereni Mike na Marc.

Nimeona ni muda muafaka sasa na kuweza kuuliza hapa JF.Sote tunajua historia ya Anna Kilango kuporwa cash 200m .Anasema alivamiwa na zikapotea.Je kuna ukweli katika hili ? Pia napenda kuuliza yeye alikuwa kazitoa wapi hizi pesa na akawa anazipeleka kwa nani ? Hizi pesa zilikuwa zake binafsi za kampuni fulani ?Maswali ni mengin lakini kwanza naomba kuanzia hapa tu .Tafadhalini naombeni msaada .Anna Klango ni kiongozi nadhai ni vyema tukajua honest na intergrity yake .

Ndugu Mitomingi,

hivi ukisema "Nimeona ni muda muafaka sasa na kuweza kuuliza hapa JF. Sote tunajua historia ya Anna Kilango kuporwa cash 200m."

kwa mujibu wa kumbukumbu zako, wewe ndo kwanza umejiunga na JF...na sasa hilo neno Nimeona muda muafaka sasa una maana muda upi wenye kufanya nini, tofauti na upi ambao haukufaa na kwa sababu gani? Unaposema Sote tunajua...yaani wewe na nani unayemwakilisha humu au huko?

I said it earlier, and now it is evident...that some names bear the hallmarks.

Welcome friend, have a great life.
 
Kwanza nampa pole Ana Kilango kwa kuumwa na apate nguvu mapema arudi nyumbani.Natoa hongera kwa JF kuweza kuwapo tena baada ya Mwema kuamua kutaka kutuzima na mwisho poleni sana na Hongereni Mike na Marc.

Nimeona ni muda muafaka sasa na kuweza kuuliza hapa JF.Sote tunajua historia ya Anna Kilango kuporwa cash 200m .Anasema alivamiwa na zikapotea.Je kuna ukweli katika hili ? Pia napenda kuuliza yeye alikuwa kazitoa wapi hizi pesa na akawa anazipeleka kwa nani ? Hizi pesa zilikuwa zake binafsi za kampuni fulani ?Maswali ni mengin lakini kwanza naomba kuanzia hapa tu .Tafadhalini naombeni msaada .Anna Klango ni kiongozi nadhai ni vyema tukajua honest na intergrity yake .

Ndugu Mitomingi,

hivi ukisema "Nimeona ni muda muafaka sasa na kuweza kuuliza hapa JF. Sote tunajua historia ya Anna Kilango kuporwa cash 200m."

kwa mujibu wa kumbukumbu zako, wewe ndo kwanza umejiunga na JF...na sasa hilo neno "Nimeona muda muafaka sasa" una maana muda upi wenye kufanya nini, tofauti na upi ambao haukufaa na kwa sababu gani? Unaposema Sote tunajua...yaani wewe na nani unayemwakilisha humu au huko?

I said it earlier, and now it is evident...that some names bear the hallmarks.

Welcome friend, have a great life.
 
Sasa huyu mama kakataa kutaja kiasi cha fedha, I smell something fishy!
 
Ndugu Mitomingi,

hivi ukisema "Nimeona ni muda muafaka sasa na kuweza kuuliza hapa JF. Sote tunajua historia ya Anna Kilango kuporwa cash 200m."

kwa mujibu wa kumbukumbu zako, wewe ndo kwanza umejiunga na JF...na sasa hilo neno "Nimeona muda muafaka sasa" una maana muda upi wenye kufanya nini, tofauti na upi ambao haukufaa na kwa sababu gani? Unaposema Sote tunajua...yaani wewe na nani unayemwakilisha humu au huko?

I said it earlier, and now it is evident...that some names bear the hallmarks.

Welcome friend, have a great life.

Yawezekana alikuwa guest kwa muda wote huo sasa kanogewa kaamua kuji register
 
Mkuu sikujua kama umebadilisha uraia na kukana utanzania


mwafrika wa kike

Tukianza kupoteza muda kufundishana matumizi ya lugha humu... tutakuwa hatuwatendei haki wale ambao hawana nafasi au nyenzo za kuja hapa na kujadili mada muhimu kwa Taifa letu. Kwa sababu hiyo sioni sababu ya kujibu au kuchangia swali au hoja yako.
 
Sasa huyu mama kakataa kutaja kiasi cha fedha, I smell something fishy!


Masatu

Hoja nzuri..usiri siku zote huwa unaleta matatizo.

Katika hili naweza kusema Mama alitumia maamuzi na busara zake kutotaja kiasi cha fedha. Wakati huo huo, lazima kuna watu ambao watataka kutumia haki yao kujua kulikoni na hapo ndipo kila mtu anakuja na hesabu zake mf mil 10, 20 au 200...!!

My Take: Ili mradi hakuna tetesi au ushahidi kuwa hizo hela (hata kama ni laki 1) zilikuwa fedha zetu za kodi mimi sioni sababu ya kuhoji lolote.
 
mwafrika wa kike

Tukianza kupoteza muda kufundishana matumizi ya lugha humu... tutakuwa hatuwatendei haki wale ambao hawana nafasi au nyenzo za kuja hapa na kujadili mada muhimu kwa Taifa letu. Kwa sababu hiyo sioni sababu ya kujibu au kuchangia swali au hoja yako.

Ulizani nilitegemea jibu toka kwako mkuu? NO WAY
 
Labda tuulize hiyo figure ya 200m imepatikana wapi na vipi na ina authenticity gani?

Inaonekana mchangiaji ama anajua zaidi au anababaisha.
 
Mwafrika wa Kike .Mimi kuleta hii hoja hapa sikuwa nabahatisha .Kumbuka nimekuwa msomaji hapa nadhani hata kabla hujaibuka na nikamua kujiunga majuzi tu .Mimi sijaleta majungu wala fitina .Niliingiwa na mshangao kwamba Mama aliotewa kuwa na cash na hata kuvamiwa.Si kawaida kwa mambo kama haya yaliyo mtokea huyu mama na akawa salama kabisa.Mwafrika umeona ushahidi kabla sijakaa sawa umesha pewa.Huyu mama aliporwa 200m kama nitakosea figure mtanisaidia .

Ni vyema kuhoji mambo haya kwa kuwa yanaweza kuwa ni pesa za EPA, BOT aa JEETU.Kumbuka Mkapa alikuwa Mwenyekiti na Rais anakula na akila Jeetu na Makamu wake pia hawezi kuwa makamu wa bure .Jeetu alianza zamani na wakubwa ndani ya Serikali na kwenye Chama walimjua na kumpigia magoti .

Nauliza hili nikiwa na maana kwamba sasa hapa JF kuna watu mbali mbali na wanaweza kuwa na info .Kwa mfano umeomba ushahidi wa kuporwa umeletwa .Hukujua haya nadhani na nakataa kwamba hakuna hata siku moja hii issue imekuwa discussed hapa .

Maisha ya mwanadamu ni historia na huwezi kukamilika kama wewe utaangalia ya mbele tu bila kuangalia nyuma .Nchi hii ina unchafu mwingi so tuwe tunaenda mbele na kuangalia nyuma .Nina wasi wasi pesa ya Jeetu haikuishia kwa Mkapa pekee .Nitasema zaidi baadaye .Ila nataka kujua huyu mahela yote yale alichukuwa benki ? Kwa ajili ipi pesa zpte zile na alikuwa anampelekea nani ?

Ulaya sheria ziko wazi .You cannot walk with such huge amount of cash .Kuna mtu alikamatwa majuzi London akiwa na 14,000 euro Mtanzania wa kiarabu basi polisi wakazaa naye .Itakuwaje huyu wa 200m hata kama ni zake ?
 
Labda tuulize hiyo figure ya 200m imepatikana wapi na vipi na ina authenticity gani?

Inaonekana mchangiaji ama anajua zaidi au anababaisha.

Hili ni swali liloulizwa mara ya kwanza kabisa hizi habari za kidaku zilipoletwa hapa na hakuna jibu lililotolewa.
 
Msingi wa hoja hii ni "mamilioni yaliyoporwa" na ndani yametajwa ni milioni 200.

Sidhani kama tunaweza kwenda mbele na kujadili zilienda wapi au zilitoka wapi na kwanini alitembea nazo mfukoni wakati hatujui kama zilikuwa ni milioni 200! Kwanini isiwe milioni 100 au milioni 400?

Kama hakuna chombo cha habari kilichotaja kiasi alichoporwa (so far binafsi sijaona) ni wapi tunapata figure hii ya milioni 200 and as exact as that!? Nakubaliana na MwK tuestablish kwanza ni kiasi gani kiliporwa kabla hatujaangalia kilitoka wapi na kwanini alikuwa nacho kwenye gari. Je yawezekana aliporowa shilingi laki moja tu?
 
Mwafrika wa Kike .Mimi kuleta hii hoja hapa sikuwa nabahatisha .Kumbuka nimekuwa msomaji hapa nadhani hata kabla hujaibuka na nikamua kujiunga majuzi tu .

Okay!

Mimi sijaleta majungu wala fitina .Niliingiwa na mshangao kwamba Mama aliotewa kuwa na cash na hata kuvamiwa.Si kawaida kwa mambo kama haya yaliyo mtokea huyu mama na akawa salama kabisa.

Okay!

Mwafrika umeona ushahidi kabla sijakaa sawa umesha pewa.Huyu mama aliporwa 200m kama nitakosea figure mtanisaidia .

Ushahidi uko wapi hapa?

Ni vyema kuhoji mambo haya kwa kuwa yanaweza kuwa ni pesa za EPA, BOT aa JEETU.Kumbuka Mkapa alikuwa Mwenyekiti na Rais anakula na akila Jeetu na Makamu wake pia hawezi kuwa makamu wa bure .Jeetu alianza zamani na wakubwa ndani ya Serikali na kwenye Chama walimjua na kumpigia magoti .

Okay!

Nauliza hili nikiwa na maana kwamba sasa hapa JF kuna watu mbali mbali na wanaweza kuwa na info .Kwa mfano umeomba ushahidi wa kuporwa umeletwa .Hukujua haya nadhani na nakataa kwamba hakuna hata siku moja hii issue imekuwa discussed hapa .

Huu ushahidi wa kuporwa milioni mia mbili uko wapi hapa?

Maisha ya mwanadamu ni historia na huwezi kukamilika kama wewe utaangalia ya mbele tu bila kuangalia nyuma .Nchi hii ina unchafu mwingi so tuwe tunaenda mbele na kuangalia nyuma .Nina wasi wasi pesa ya Jeetu haikuishia kwa Mkapa pekee .Nitasema zaidi baadaye .Ila nataka kujua huyu mahela yote yale alichukuwa benki ? Kwa ajili ipi pesa zpte zile na alikuwa anampelekea nani ?

Na hii inahusiana nini na huu udaku?

Ulaya sheria ziko wazi .You cannot walk with such huge amount of cash .Kuna mtu alikamatwa majuzi London akiwa na 14,000 euro Mtanzania wa kiarabu basi polisi wakazaa naye .Itakuwaje huyu wa 200m hata kama ni zake ?

Mbona unajichanganya? haya ya 200m na hii ya ulaya havina uhusiano kabisa hapa maana hakuna sehemu yoyote ile umeonyesha kuwa huyu mama aliporwa sh 200m hapa!!!!!!
 
Kichwa cha habari kinasema;
kilango na mamilioni aliyoporwa?

Kwa nini kichwa cha habari kisiwe;

Kilango na fedha aliyoporwa?

Habari kwamba mama huyu aliporwa mamilioni zimeweza kujizusha vipi?

Tarakimu 200 imezaliwaje?

Kama tarakimu ni ya kubuni kwa nini isiwe Tshs 2,000,0000,0000.00 ili kumfanya aonekane kweli alikuwa akifsafirisha fedha haramu?????

Au kwa nini tarakimu isiwe 200,000.00 au 20,000.00 au 20.00 kabisa?????

Niliwahi kuishi Manzese nikaona jinsi watu wengi walioibiwa wakiishia kutangaza kiwango kikubwa cha fedha katika Pochi kuliko kile kilicho kuwemo. Sababu ilikuwa ni kuwakosanisha wezi wakati wa kugawana mshiko.

Ni kweli aliibiwa Tshs 200,000,000.00 Taslimu?

Lakini je ni kweli mama huyu alikuwa na kiwango hicho chafedha?

OK Kama alikuwa na kiasi cha Tshs 200M, je ni uthibitisho kwamba fedha hizo ziliuwa Haramu?

Hii inaikumbusha wale jamaa wa Takukuru waliotumwa na Lowassa kwenda kukamata wenzao wa SISIEMU kwa tuhuma za Rushwa.
Cha ajabu ni pale Vijana wa mbaya wetu Dr Hosea walipokamata watu na kusema wametoa Rushwa eti kwa vile wamekutwa na kiwango kikubwa cha fedha mifukoni mwao.

Tangu lini uwingi wa fedha unauhusiano na Uharamu wa fedha?

Je ukiwa na laki moja mfukoni maana yake wewe ni mla au mtoa rushwa?

Ukisafiri na Tshs 200,0000,000.00 katika gari lako maana yake unasafiri na fedha haramu?

kuwa fedha nyingi ni dalili ya Ufisadi?

Mantiki ya ya thread hii ni nini?

Ni kuthibitisha maovu ya Anna kilango?
Ni kujaribu kumwingiza kwenye kundi la waovu kama Lowassa?
Ni kujaribu kumkeep Busy ili asishughulikie mambo ya maana?
Ni kututisha sisi tunao mpongeza mama huyu kwa ujasiri?

Ni njama za kutaka kuonyesha kwamba ana hasira kwa sababu mumewe Malecela aliukosa Urais?

Je kipindi hayo mamilioni yanaibiwa,kulikuwa na mgao wa kifisadi wa fedha za walipa kodi kiasi kwamba mwenzetuanajaribu kuhusianisha upotevu wa fedha chini ya usimamizi wa mama huyu na hiyo ya mgao haramu?

Nini mantiki ya thread hii?
 
Kichwa cha habari kinasema;
kilango na mamuilioni aliyoporwa.

HAbari kwamba mama huyu aliporwa mamilioni zinakuja kvipi?

Niliwahi kuishi Manzese nikaona jinsi watu wengi walioibiwa wakiishia kutangaza kiwango kikubwa cha fedha katika Pochi kuliko kile kilicho kuwemo. Sababu ilikuwa ni kuwakosanisha wezi wakati wa kugawana mshiko.

Lakini je ni kweli mama huyu alikuwa na kiwango hicho chafedha?

OK Kama alikuwa nacho, je ni uthibitisho kwamba fedha hizo ziliuwa Haramu?

Hii inaikumbusha wale jamaa wa Takukuru waliotumwa na Lowassa kwenda kukamata wenzao wa SISIEMU kwa tuhuma za Rushwa. Cha ajbu ni pale Vijana wa mbaya wetu Hosea walipokamata watu na kusema wametoa Rushwa eti wamekutwa na kiwango kikubwa cha fedha.

Tangu lini uwingi wa fedha unauhusiano na Uharamu wa fedha?
Je ukiwa na laki moja mfukoni maana yake wewe ni mla au mtoa rushwa?

Ukisafiri na Tshs 200,0000,000.00 katika gari lako maana yake unasafiri na fedha haramu?

Mantiki ya ya thread hii ni nini?

Ni kuthibitisha maovu ya Anna kilango?
Ni kujaribu kumwingiza kwenye kundi la waovu kama Lowassa?
Ni kujaribu kumkeep Busy ili asishughulikie mambo ya maana?
Ni kututisha sisi tunao mpongeza mama huyu kwa ujasiri?

Ni njama za kutaka kuonyesha kwamba ana hasira kwa sababu mumewe Malecela aliukosa Urais?

Je ulikuwa na mgao wa kifisadi wa fedha za kodi kipindi hayo mamilioni yanaibiwa, pengine ili kujaribu kuhusianisha upotevu wa fedha hhiyo na mgao haramu?

Nini mantiki ya thread hii?

Huu udaku umepikwa na umekuwa ukilewa hapa mara kwa mara. Mwanzoni watoa udaku walikuwa wanapata nguvu kwa vile ni FMES pekee alikuwa anajaribu kuweka facts hapa na hivyo kuzidiwa nguvu na wadaku.

Sasa hivi nimeamua kuwa hakuna udaku tena na majungu dhidi ya Mama Malecela ambao ataachiwa FMES peke yake kujibu hapa. Kama tunakubaliana kuwa mafisadi wakileta habari dhidi ya wapinzani ni lazima tuwashikie bango, basi the same standard itumike pia kwa watu wanaochafua wenzao hapa kwa habari za udaku.
 
Huu udaku umepikwa na umekuwa ukilewa hapa mara kwa mara. Mwanzoni watoa udaku walikuwa wanapata nguvu kwa vile ni FMES pekee alikuwa anajaribu kuweka facts hapa na hivyo kuzidiwa nguvu na wadaku.

Sasa hivi nimeamua kuwa hakuna udaku tena na majungu dhidi ya Mama Malecela ambao ataachiwa FMES peke yake kujibu hapa. Kama tunakubaliana kuwa mafisadi wakileta habari dhidi ya wapinzani ni lazima tuwashikie bango, basi the same standard itumike pia kwa watu wanaochafua wenzao hapa kwa habari za udaku.

Mwafrika wa kike ni kitu kinakufanya useme huu ni udaku ? Una sababu ya kutueleza kusaidia madi yako kwamba huu ni udaku na mambo kama haya hayajawahi kumpata huyu Mama ? Tunaweza 700m au zaidi ama less lakini mie nimesema ni like 200m .Maswali yajibiwe .Naomba useme kwa nini unaita hii habari ni udaku .Je hili tukio halikuwahi kutokea ?
 
Ukiangalia time-line ya tukio lenyewe limetokea wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu yaani kipindi cha kinyang'anyiro cha kutafuta wagombea wa urais.

Yawezekana mama aliagizwa na mzee akachukue fungu mahala ili alikimbizie Dodoma kutia nguvu harakati za kampeni.

Conspiracy theorist wamekuja na 2 version of stories.

1. Wana mtandao walinusa hizi habari wakaingilia kati na "kupora" mamilioni yale ili kudhoofisha kampeni ya Mzee Malecela ambaye at that time alikuwa "unstopable" and with "fungu" alilobeba "mama" nguvu za mzee zingekuwa maradufu. Kilichofanyika ni kutumia mbinu za "medani" na kulinyakua "fungu" kabla halijafika mahala husika.

2Inasemekana mama kamchezea "game" mzee baada ya kuona "mshiko" ni mkubwa akaona bora "astage managed plot" ya kuporwa na mzee akaingia kichwa kichwa.
 
Mwafrika wa kike ni kitu kinakufanya useme huu ni udaku ? Una sababu ya kutueleza kusaidia madi yako kwamba huu ni udaku na mambo kama haya hayajawahi kumpata huyu Mama ? Tunaweza 700m au zaidi ama less lakini mie nimesema ni like 200m .Maswali yajibiwe .Naomba useme kwa nini unaita hii habari ni udaku .Je hili tukio halikuwahi kutokea ?

Mitomingi, kwanza umesema 200m, then unasema "like 200m" whats next? Utasema nilikuwa nina speculate na sijui kiasi chenyewe?

Tumekupa nafasi ya kutupa source ya figure yako umeshindwa kutupa, mwishowe unakuja kwenye "like 200m" unajua "like" maana yake nini? Maana yake huna hakika, sasa kama huna hakika na vitu usilete hapa maana hii ni forum ya watu makini wanaodiscuss vitu vya uhakika.Unaweza kuwa na case nzuri sana lakini jinsi ulivyoileta hapa inakuwa bado haijaenda shule.Njoo na source na ushahidi tutakusikiliza.Kama alivyosema Mama mwenyewe hapendwi mtu hata kama yeye mwenyewe, lakini lazima uje na credible facts.

Kutokuwa na source ya figure yako kunaqualify the whole thing kuwa udaku.No research no right to speak.No source no right to speak.
 
Back
Top Bottom