Anna Kilango Malecela na Sefue warejeshwe kazini

Yuache mazoea ya kukariri kuwa watu au kizazi fulani tu ndio viongozi ktk hata timu za mpira huwa na under 18 wanaotengenezwa kuchukua nafasi pindi itakapohitajika kufanya hivyo. Tanzania ya Watanzania wote hakuna haja ya watu flaniflani kufia oficn kwa uzee kisa eti ni veterani ktk uongozi, tunahitaji akili mpya mawazo mapya hasa ktk karne hii ya sayansi na technologia
 
Mimi ni RAIA mwema kwa kuwa Kila mwezi nalipa kodi, pia natekeleza sheria za NCHI ndio maana sijafungwa wala kutiwa kizuizini.

Anna Kilango akiwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga aliondolewa na bosi wake kwa kile kilichodaiwa alimdanganya kuwa mkoa wa Shinyanga haukuwa na vibarua hewa. Natumia neno vibarua kwa kuwa watumishi NCHI hii ni wachache sana, wengi nikiwemo Mimi ni vibarua wa serikali. Anna alafukuzwa kazi.

Mwezi huu tumeona vituko vingi, MTU mmoja anapangiwa zaidi ya nafasi moja ya uteuzi, ukurugenzi wake , UKUU wa Wilaya wake. Ubunge wake, Ukurugenzi wake,Ukatibu tawala wa Wilaya wake ukurugenzi wa manispaa wake. Hawa wasingerushwa hewani watu wakapiga kelele ndio watumishi hewa ambao serikali imewaandaa kwa mbwembwe.

Ombeni Sefue licha ya kuonekana kuwa na umri mkubwa (above 60 years age), alikuwa makini kuliko huyu mhandisi wa sasahivi, pia Idara ya habari na mawasiliano ya Ikulu iangaliwe vema, Msigwa kama ametimiza vigezo athibitishwe awe mkurugenzi kamili sio kukaimu Kila uchao, anakosa molari ya kazi na ufanisi pia.

Najua NCHI hii kama wewe sio Kada wa CCM, PROF, DR,MHANDISI huwezi kisikilizwa hoja zako. Walio karibu na Rais wampe haya huenda akachambua Hata moja likamsaidia.
INA MAANA WA TZ WOOOTE NI HAO TU? NDIO UNAOWAFAHAMU?
KUNA VICHWA LAKINI .......halikuli likakwisha.....
 
Yuache mazoea ya kukariri kuwa watu au kizazi fulani tu ndio viongozi ktk hata timu za mpira huwa na under 18 wanaotengenezwa kuchukua nafasi pindi itakapohitajika kufanya hivyo. Tanzania ya Watanzania wote hakuna haja ya watu flaniflani kufia oficn kwa uzee kisa eti ni veterani ktk uongozi, tunahitaji akili mpya mawazo mapya hasa ktk karne hii ya sayansi na technologia
Mkuu umenifanya nicheke hapo penye neno veterani. Afadhali wangekuwa maveterani wa kujenga taifa wao wamekuwa maveterani wa kuharibu
 
Ombeni Sefue alikua hodari. Ukimuona katika Tv unapata mshawasha kumsikiliza.

Huyu Kijazi ni shida tupu kwakweli
Baby, nakushauri haya mambo ya siasa we yaache kwanza; hauna ngozi ngumu kama zetu, wale weh.u wa pale opposite na jingo la umoja wa vijana wakija, watakuchukuza bure. Nielewe please baby.
 
nani kakuambia kua tumekosa pumzi baada ya hao uliowataja kukosekana kazini? some people can't get enough of the national cake. idi.ot.
 
Mimi ni RAIA mwema kwa kuwa Kila mwezi nalipa kodi, pia natekeleza sheria za NCHI ndio maana sijafungwa wala kutiwa kizuizini.

Anna Kilango akiwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga aliondolewa na bosi wake kwa kile kilichodaiwa alimdanganya kuwa mkoa wa Shinyanga haukuwa na vibarua hewa. Natumia neno vibarua kwa kuwa watumishi NCHI hii ni wachache sana, wengi nikiwemo Mimi ni vibarua wa serikali. Anna alafukuzwa kazi.

Mwezi huu tumeona vituko vingi, MTU mmoja anapangiwa zaidi ya nafasi moja ya uteuzi, ukurugenzi wake , UKUU wa Wilaya wake. Ubunge wake, Ukurugenzi wake,Ukatibu tawala wa Wilaya wake ukurugenzi wa manispaa wake. Hawa wasingerushwa hewani watu wakapiga kelele ndio watumishi hewa ambao serikali imewaandaa kwa mbwembwe.

Ombeni Sefue licha ya kuonekana kuwa na umri mkubwa (above 60 years age), alikuwa makini kuliko huyu mhandisi wa sasahivi, pia Idara ya habari na mawasiliano ya Ikulu iangaliwe vema, Msigwa kama ametimiza vigezo athibitishwe awe mkurugenzi kamili sio kukaimu Kila uchao, anakosa molari ya kazi na ufanisi pia.

Najua NCHI hii kama wewe sio Kada wa CCM, PROF, DR,MHANDISI huwezi kisikilizwa hoja zako. Walio karibu na Rais wampe haya huenda akachambua Hata moja likamsaidia.

Huyo mama alifanya makosa ndio maana kaondolewa aliwahi kutoa taarifa kabla ya kujiridhisha na kupata ushauri kwa timu, so Mh Rais akapata mashaka na utendaji wake, Huyo mzee umri ulikwenda muache apumzike. Kwann unasema watumishi nchi hii ni wachache sana na wengine ni vibarua?,wale hewa kule Shinyanga walikua watumishi au vibarua? kivipi
 
Mimi ni RAIA mwema kwa kuwa Kila mwezi nalipa kodi, pia natekeleza sheria za NCHI ndio maana sijafungwa wala kutiwa kizuizini.

Anna Kilango akiwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga aliondolewa na bosi wake kwa kile kilichodaiwa alimdanganya kuwa mkoa wa Shinyanga haukuwa na vibarua hewa. Natumia neno vibarua kwa kuwa watumishi NCHI hii ni wachache sana, wengi nikiwemo Mimi ni vibarua wa serikali. Anna alafukuzwa kazi.

Mwezi huu tumeona vituko vingi, MTU mmoja anapangiwa zaidi ya nafasi moja ya uteuzi, ukurugenzi wake , UKUU wa Wilaya wake. Ubunge wake, Ukurugenzi wake,Ukatibu tawala wa Wilaya wake ukurugenzi wa manispaa wake. Hawa wasingerushwa hewani watu wakapiga kelele ndio watumishi hewa ambao serikali imewaandaa kwa mbwembwe.

Ombeni Sefue licha ya kuonekana kuwa na umri mkubwa (above 60 years age), alikuwa makini kuliko huyu mhandisi wa sasahivi, pia Idara ya habari na mawasiliano ya Ikulu iangaliwe vema, Msigwa kama ametimiza vigezo athibitishwe awe mkurugenzi kamili sio kukaimu Kila uchao, anakosa molari ya kazi na ufanisi pia.

Najua NCHI hii kama wewe sio Kada wa CCM, PROF, DR,MHANDISI huwezi kisikilizwa hoja zako. Walio karibu na Rais wampe haya huenda akachambua Hata moja likamsaidia.
We bila shaka ni Mpare pole mkuu watu hawaendi hivyo
 
Ina maana serikali hawana mfumo wa komputa wa kucompile utumishi wao kwa ujumla ndio maana wanabugi step kwa kurundikiana vyeo kwa mtu mmoja. Ila kama wangekuwa na mfumo dhabiti ungekuwa unawaonyesha kuwa huyo mnayempa ukurugenzi ni mkuu wa wilaya tayari or otherwise. Yaani kifupi mfumo huo wa database ungecheki kujirudia rudia kwa data (Data redundancy) hivyo primary key ingekuwa jina. Hivyo unapoingiza jina la mtu unayetakakumteua ingekuwa inakujulisha kuwa huyu ni muajiriwa au mteuliwa kwenye nafasi fulani hivyo unaachana naye.

Nashanga mie! JPM alishasema hana wataalamu wa IT ndiyo maana ya kwenda kumwomba Kagame!
Sasa kama IT wa Tanzania kazi yenu ni kuomba rushwa ya 10% afanyeje? Inabidi atumie kumbukumbu za kichwani maana yeye ni mtaalamu wa kukariri.Na matokeo yake ndiyo haya. Pengine JPM ashauriwe kumwomba Lugumi aifanye kazi hiyo maana yeye anaaminiwa na serikali yake!
 
Hata katibu Mkuu kiongozi amlete kutoka huko, hapa bongo mmmh
 
Huyo mchapa taarifa za Ikulu kazi kaipata mwaka huu manake habanduki kwenye PC yake marekebisho ni kila baada ya dakika 5. Hapa kazi tu
 
Jibu ni kuwa hakuna Malaika katika ulimwengu huu. Hili Mungu analicha litokee makusudi. Kilango alifanya kosa hata hivyo adhabu aliyopewa hailingani na kosa. Tumuombee Rais.
 
Back
Top Bottom