Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Mkuu nchi hii imeharibiwa na viongozi wetu waliotawala hii nchi kwa nyakati tofauti na wengi wao ni above 40 hao ndio waliotuleta hapa. Hao division five unawaonea tuDivision five tayari zimeshaleta madhara makubwa, nchi imebemendwa. Ngoja tufate wataalamu toka Rwanda.