kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Takriban mwezi wa pili sasa sikusikii ukirusha mashambulizi kwa wale unaodai wanawaingilia katika utendaji wenu wa kazi. Je umetishwa? Unanikumbusha wakati uleee wa Rage, alipiga kelele weee tukashangaa tulipoambiwa yupo Ukonga, je kimya chako kinamaanisha ya Rage?