Anjetile Osiah mbona upo kimya sana?

kazikubwa

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
597
145
Takriban mwezi wa pili sasa sikusikii ukirusha mashambulizi kwa wale unaodai wanawaingilia katika utendaji wenu wa kazi. Je umetishwa? Unanikumbusha wakati uleee wa Rage, alipiga kelele weee tukashangaa tulipoambiwa yupo Ukonga, je kimya chako kinamaanisha ya Rage?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom