Anjela Chibalonza

Anjela Chibalonza

Alifariki mwaka 2007 nchini Kenya ktk eneo liitwalo Naivasha, walipokua wanaenda kwenye huduma ya maombezi ndipo gari yao iligongana uso kwa uso na lori.Alikua ndo anajianda kuja Tanzania kuzindua album yake ya Nimekutana Yesu,pia kabla ya ajali yaani cku ya nyuma yake,alifanya crusade moja kwenye chuo kikuu nchini Kenya,zaidi ya watu 20 elfu waliokoka,Mungu alimpenda na akamchukua,ulikua ni msiba mkubwa hasa kwa wapenzi wa gospel.hadi Kibaki nae pia alishiriki ktk msiba huo.alipelekwa kuzikwa kwao Congo ktk sehemu iitwayo Bukavu ambapo ndipo alipozaliwa,ameacha watoto 3.Mungu aendelee kumrehemu huko alipo.yaani nimemfuatilia sana huyu dada mpaka biograph yake,naona kuroho kama yupo 7bu nyimbo zake kwangu naziona ni mpya zote.
 
mara ya kwanza nilipoona video yake ya EBENEZA kwa kweli sintosahau siku hiyo nikiwa safarini kwenye basi mpaka leo nyimbo zake zinanifariji sana na kunibariki Mwenyenzi Mungu amlaze mahali pema peponi
 
Dah!! Sikujua kama kesha fariki!!!!!
pamoja na kutokuamini hayo majarida ya kimapokeo(Bible and Qur'an) wimbo wa EBENEZER wa huyo mama nausikilizaga Sana.R.I.P
Eee bana eee yaani huo wimbo wa Ebenezer ni anthem ya familia yangu.
 
Mkuu sikiliza; Bokonzi nayo,Yozal Nzambe,Narudi,Ndio dhamana.Nazo pia zitakubariki pia.
 
Acha kuwaza negative, Mungu alimbariki yule na alitokea maisha yakawaida sana, alikua hadi anawahamisha watu juu ya kumjua Mungu na kutokukata tamaa katika kutafuta mafanikio,unafunga nn kama unatoa povu hivyo.
 
Kuwa na heshima ndugu yangu even though you don't like or appreciate what other people believe in, but respect them and stay away from their businesses, I don't believe in what you believe and you don't believe in what I believe so respect me as I respect you
 
Alifariki mwaka 2007 nchini Kenya ktk eneo liitwalo Naivasha, walipokua wanaenda kwenye huduma ya maombezi ndipo gari yao iligongana uso kwa uso na lori.Alikua ndo anajianda kuja Tanzania kuzindua album yake ya Nimekutana Yesu,pia kabla ya ajali yaani cku ya nyuma yake,alifanya crusade moja kwenye chuo kikuu nchini Kenya,zaidi ya watu 20 elfu waliokoka,Mungu alimpenda na akamchukua,ulikua ni msiba mkubwa hasa kwa wapenzi wa gospel.hadi Kibaki nae pia alishiriki ktk msiba huo.alipelekwa kuzikwa kwao Congo ktk sehemu iitwayo Bukavu ambapo ndipo alipozaliwa,ameacha watoto 3.Mungu aendelee kumrehemu huko alipo.yaani nimemfuatilia sana huyu dada mpaka biograph yake,naona kuroho kama yupo 7bu nyimbo zake kwangu naziona ni mpya zote.
Ajari ilitokea IRINGA na siyo kenya mkuu
 
Aya bana inawezekana vipeperushi vya udaku vilipotosha.lkn ni Kenya kwenye barabara ya Naivasha asubuhi kabisa.media zilikua zikitanganza kuwa an Angel of God is taken to heaven,kutokana na jina lake Angela.Tanzania pia kafika sana.na ndo alikuwa anaratiba yakuja Mwanza.
 
Amenena mwenyewe haleluya...
Utaishi ukitazamaa..
Ni ujumbe wa bwana haleluya,utaishi ukitazama..
nyimbo yake pia napenda sana nyimbo napata mahubiri mazuri mno.
 
Wakuu ingawa Mungu kampenda zaidi na kumchukua mwimbaji huyu, mimi ananibariki sana kwa nyimbo zake, pia na shuhuda zake katika maisha yake aliyopitia. Naombeni msaada kwa anayefahamu nyimbo zake za kiingereza sababu alikuwa akienda mpaka Nigeria kwa huduma ya uimbaji.

Mume wake anatia aibu Dodoma
 
Mkuu tatizo proved evidence zipo au ni rumous tu zile,whatever no one who is perfect.cunajua shetani nae yupo job kuwasaka watu.
 
Back
Top Bottom