Anguko sasa ni dhahiri

Tb Joshua alikuja Tanzania akashuka kwenyr ndege yenye thamani ya mabilioni akiwa peku.....kibiblia hii ni ishara mbaya kwa taifa,taifa litakumbwa na mambo fokiria rais unampokea mgeni kashuka kwenye ndege ya kisasa anakanyaga chini wakati unajua nyumbani kwake ana viatu pea kwa pea,na anatoa misaaada ya mamilioni kila Mwaka,
On top of that,anayetembea peku ni mtumishi wa mungu maarufu!!
Tazama....Mungu akaufanya moyo wa farao kuwa mgumu!!
 
Makamanda ushauri wa bureau: Kwa vile ukuta unakuja hapo 01/10/2016 kulingana na amri ya Dj, muda huu na nguvu zenu mngezitumia kujiandaa ipasavyo.
Usifanye juhudi za kijinga za kuwatoa watu kwenye mada husika...kama unaona kuna hilo hitaji unaweza tu kulianzishia mada
 
mkulu akiendelea hivi kwa miaka mitatu, atasaidia kuinua upinzani wa hali ya juu toka ndani na nje ya chama chake hii ni mbaya kwa afya ya nchi.
tutegemee tamko kali toka cuf leo, matamko hayo yakiwa yanajirudia mara kwa mara na vyama pinzani, utasababisha ukuta wa kweli kujengwa siku za mbeleni.
 
Mkuu usemacho kwa maridhiano ni muhimu kina mantiki,lakini amani usiamini kuna watu bila mchakamchaka na push up huwa ni ngumu sana kukaa kwanye mstari,ndio mana kuna msemo usemao dawa ya moto ni moto.LET THE EVENTS TAKE THEIR COURSE.
 
Mkuu usemacho kwa maridhiano ni muhimu kina mantiki,lakini amani usiamini kuna watu bila mchakamchaka na push up huwa ni ngumu sana kukaa kwanye mstari,ndio mana kuna msemo usemao dawa ya moto ni moto.LET THE EVENTS TAKE THEIR COURSE.
Let the events take their course(cause? )but have ever thought about the outcomes?
 
Si umtaje tu mkuu.
Ila achaa tu kwakuwa wenye Akili tumelewa unachomaanisha.
 
Amenand amen Mshana.
 
Let the events take their course(cause? )but have ever thought about the outcomes?
Did that old man think about the outcome when he refused to shake hands with his president?
 
Nawaza tu kimya kimya hivi unaweza ukaenda kununua cd usikilize hotuba za magufuli utegemee utaambulia jambo la kujenga na kukutia faraja ktk mzunguko wa maisha haya la hasha kama umegombana na mtu mtumie cd za hotuba za magufuli ili ugomvi uimarike vizuri
 
Kwa hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…