Kumbe rais alikuwa sahihi aliposema kuwa wakati serikali inahangaika kukopa ili kupata fedha za maendekeo kutoka mabenki, mabenki hayo hayo yanatumia fesha hizohizo za serikali kuikopesha serikali. Kwa maana kuwa serikali inakopa fedha zake yenyewe.Karibu 5 trilioni imeondolewa kwenye mzunguko wa pesa nchini imelala pale BoT idle tu haifanyi kazi yoyote ile! wakati hii pesa ingekuwa kwenye mabenki ya biashara ingekuwa inazunguka kwa namna mbali mbali ikiwemo mikopo n.k. Hivyo benki za biashara zinafaidika na nchi pia inafaidika kwani watu wanakopa pesa wanafanya mambo mbali mbali ikiwemo kuinvest kwenye biashara mbali mbali, kufanya ujenzi etc. Wewe Rais hujik lolote kuhusu uchumi una washauru wa mambo ya uchumi lakini unakurupuka na kuondoa 5 trilioni shillings kwenye mzunguko wa pesa nchini.
Kumbe rais alikuwa sahihi aliposema kuwa wakati serikali inahangaika kukopa ili kupata fedha za maendekeo kutoka mabenki, mabenki hayo hayo yanatumia fesha hizohizo za serikali kuikopesha serikali. Kwa maana kuwa serikali inakopa fedha zake yenyewe.
upotoshaji tu......makampuni makubwa huwa yanahifadhi pesa nyingi benki,na bado huwa yanakopa benki!!Kumbe rais alikuwa sahihi aliposema kuwa wakati serikali inahangaika kukopa ili kupata fedha za maendekeo kutoka mabenki, mabenki hayo hayo yanatumia fesha hizohizo za serikali kuikopesha serikali. Kwa maana kuwa serikali inakopa fedha zake yenyewe.
NIMEPITA HAPA MAGOGONI ,IKULU NIMEKUTA BONGE LA PAKA (NYAU) LIMERUKA GETI NIKARIFATILIA NIMELIACHA LINAPEKUAPEKUA MSOSI KWENYE JALALA SOKO LA FERI SIJUI HATA HUKO BALANCE SHEET INA NEGATIVEHajui kwamba pesa inatakiwaga izunguke.
Azijaze huko BOT zitage
🙄🙄🙄😀😀😀😱😱😡😡🙁🙁🙂🙂NIMEPITA HAPA MAGOGONI ,IKULU NIMEKUTA BONGE LA PAKA (NYAU) LIMERUKA GETI NIKARIFATILIA NIMELIACHA LINAPEKUAPEKUA MSOSI KWENYE JALALA SOKO LA FERI SIJUI HATA HUKO BALANCE SHEET INA NEGATIVE
Big up. Akiiona hii atajiona mpumbavu.anahangaika kuwachekesha wananchi na kuwapa matumaini hewa kwa kutumbua sijui mara uhakiki,
unaacha suala msingi la kuboresha uchumi,kila siku unaomba vyeti vya mwalimu Tandahimba,cheti kimoja unakiomba mara kumi kumi,
huku unaacha uchumi unateketea kwa moto mkali,what a joke!! hivi anapolipa mishahara huwa anafikiri hela inatoka wapi? hizo ni kodi za biashara ndogondogo na za kati,
kimsingi,nasubiri nione Kampuni ya bia Tanzania nayo itatangaza kupungua kwa mapato yake,nataraji pia serengeti brewries watangaze hasara au kupungua kwa mapato
Richard huo ndio ukweli mengine majungu ila mtu kama Dr jela inamuhusu trust me.Kwa miaka mingi CRDB ilikuwa ikifanya biashara na serikali na hivyo kuwa na fedha za kiinimacho kwamba inafanya biashara safi na faidi inapatikana kila mwaka.
Na hata kupanua shughuli zake hadi Rwanda ni katika kuufahamisha umma kwamba ni benki inayoweza kuaminiwa.
Lakini nyuma ya pazia kulikuwa na ubadhirifu mkuwa na ufisadi kati ya wafanyakazi wa CRDB pamoja na wale watumishi waso waaminifu wa serikali.
Walichokuwa wakifanya ni kucheza na zile amana za serikali na pia baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo wakitumika kidhinisha mikopo hewa ya hadi milioni 300 ilhali thamani halisi ya mkopo au nyumba ni milioni 100-150
Hapo ndipo utaalam wa Dr Charles Kimei ambae ni mchumi wa kuaminiwa kupewa vyombo vya Fedha , unapoleta mashaka makubwa.
Walipokuwa wanaonesha kupata profit mbona mlikuwa hamuwaombi TRA wachunguze?Bank kubwa Tanzania CRDB bank imepata hasara ya Sh Billion 2 katika hesabu zake za robo mwaka (Quarterly Financial Statements) Suala limenistua sana baada ya kuona Twiga Bancorc ilikua insolvent/ ilifilisika hivi karibuni.
Wajuzi wa mambo naomba mtujuze hii private bank (CRDB) wame conceal profit to avoid Tax liability au kweli wame incur loss naomba TRA walifatilie hili huenda CRDB wame conceal profit for the quarter
Taarifa za fedha zinaonesha kuwa mikopo mingi haijalipwa (underperforming Loans) lakini pia CRDB walikua wana accumulated tax/deni la kodi la muda mrefu.
Mwaka 2015 in 3rd quarter kama hii walipata faida ya Sh. 37.9 Billion after statutory deduction/Tax
Banking and Financial Institution
Act ya (2006) Section 32(3) inazitaka Taasisi hizo kuandaa taarifa za fedha.
Waliosoma Uhasibu kidogo mnaweza mkapitia Financial Statements (Balance sheet na Statement of Income Statement)
View attachment 426878
Tutakopa FincaHapa kazi tu! Jamaa anahifadhi fedha za taasisi zake za serikali Benki Kuu ambayo kimsingi haifanyi biashara ya fedha Bali kusimamia monetary policy. Matokeo yake money circulation nchini imedorora, na commercial banks zinalazima kukopa Benki Kuu. Hii imesababisha interest rates against loans kupanda sana. Wakopaji wanashindwa kukopa, hivyo investments nazo kudorora. Kwa mwenendo huu kwa nini nchi isiingie kwenye recession! Tuendelee kuimba " Hapa kazi tu" kiushabiki lakini kwa bahati mbaya uchumi haujui "ushabiki"
Kijana umeandika kama mjinga fulani asie juwa sheria na miongozo ya fedha. Mim nikusaidie tu kwa kukuambia soma comment za wataalam humu ndipo uwandike nje ya hapo kwenye hii mada wewe ni kikinda huna kitu. Uko mweupe kuanzia mambo ya fedha mpaka kisiasa. Funga domo.Tunajenga Tanzania moja lakini serikali inagombania fito,eti inasema benki zilikuwa zinatumia fedha za serikali kukopesha wananchi na kupata faida.
Ebbo!!, sasa na bakhresa,mengi,mohamed dewji na matajiri wengine wanaoweka fedha benki nao wazitoe kwa hoja kwamba benki huwa wanatumia hela zao kukopesha?
je wakishakopesha, serikali ikienda kuangalia balansi,au ikienda kuzichukua huwa inaambiwa "fedha zenu hazipo,tumezikopesha"....si huwa wanazikuta!!tena zikiwa na riba!!
je wanaokopa ni akina nani? si hawa akina hawa,asha,mwajuma,abdallah,masanja.....watanzania wenzetu ili wakaanzishe biashara zao ndogo ndogo wajikomboe na umasikini!,
sasa serikali imeona hawa watanzania.wanakopa fedha benki wanazifaidi(na inaamini eti zinazokopwa ni za serikali tu),ikaamua izitoe,sasa inamkomoa nani? inazikomoa benki au wafanyabiashara wadogo na wa kati ambao sasa hawapati mikopo na wanalia hali ngumu!
halafu unapokusanya pesa na kwenda "kuzificha" benki kuu unazuia mzunguko,benki kuu itayahifadhi malundo kwa malundo ya pesa tu,haiwezi kwenda tandale kumkopesha mama ntilie,haiwezi kwenda mtaa wa kongo kumkopesha mjasiliamali,
kwa maana nyingine,"unakomba"hela zoote za nchi,"unazificha,halafu unataka watu wafanyeje? manake huku ni kuficha hela.
kingine,hiyo CRDB ni benki ya nani?si ni benki ya mtanzania? kama kwa.miaka zaidi ya 20wameonyesha uaminifu kwa kutopoteza hata senti ya umma iliyohifadhiwa pale,kwa nini wewe ukae mwezi tu serikalini eti uwazidi akili mwinyi,mkapa na kikwete!!
tunagombania fito,na kwa kuwa tunagombania fito,hakika nyumba haitaisha,ukishika fito unanyanganywa,na mimk ukishika fito nakunyanganya......tutagombana weee mwishowe akija aliyetupa kazi (mtanzania)kutaka akabidhiwe nyumba,tutakoma 2020
CRDB walikuwa wanafanya biashara haramu na fedha za serikali....hii benki imetumika sana na mafisadi ...mafisadi wamebanwa ndio maana imefilisikaanahangaika kuwachekesha wananchi na kuwapa matumaini hewa kwa kutumbua sijui mara uhakiki,
unaacha suala msingi la kuboresha uchumi,kila siku unaomba vyeti vya mwalimu Tandahimba,cheti kimoja unakiomba mara kumi kumi,
huku unaacha uchumi unateketea kwa moto mkali,what a joke!! hivi anapolipa mishahara huwa anafikiri hela inatoka wapi? hizo ni kodi za biashara ndogondogo na za kati,
kimsingi,nasubiri nione Kampuni ya bia Tanzania nayo itatangaza kupungua kwa mapato yake,nataraji pia serengeti brewries watangaze hasara au kupungua kwa mapato