Anguko la January Makamba

Wana-ccm wote kabla ya 2014 wanaamini rushwa will secure their survival toward uchaguzu mkuu 2015
 

Ajipange, kaponzwa na Uccm wake........ktk hili ametanguliza zaidi maslahi ya chama kuliko waTz, wapiga kura wake. Si kitu kizuri alichofanya.
 
 

Alphaxard Kangi Lugola ni mbunge wa Mwibara - ccm
Deo Haule Filikunjombe ni mbunge wa Ludewa - ccm
Nimrodi Elirehema Mkono ni mbunge wa Musoma Vijijini - ccm

Kama wote hawa ni wabunge wa ccm na walisaini petition, Je unataka tukueleweje katika utetezi huu unaoleta hapa dhidi ya kijana mnafiki January Makamba? unapozungumzia upande unamaanisha nini? kanda ya ziwa vs Nyanda za juu kusini vs Kaskazini??

January Makamba hawezi kuwa kiongozi mzuri hadi atakapoacha unafiki wake!! kiongozi mzuri anaonekana hata kama yuko upande gani. Katika hili huwezi katu kulaumu mfumo, hapa january anabeba msalaba wake mwenyewe kwa unafiki wake.
 
hivi kuna ulazima gani wa watoto nao kuwa viongozi kama baba zao..hapo ndipo ninapopata kichefuchefu..kwani hakuna wengine wa kuongoza..tumejaa tele lakini kubaniana na kupeana nafasi kwa vilaza ndio kunaendelea..

Mkuu,hujui ukizaliwa na mkulima ni lazima na wewe utalima?
 
..mimi nadhani alichofanya January ni utoto tu ktk mambo serious.

..alikuwa pale kujaribu kumharibia tu Zitto Kabwe.

..kama angekuwa serious angependekeza njia mbadala ya kuhakikisha mawaziri mafisadi wanawajibishwa.

..kitendo cha kumpinga Zitto na kueneza uvumi kwamba hoja yake[Zitto] ni "publicity stunt" kimeniacha na maswali mengi sana kuhusu January.
 
Shida kubwa ya vyeo vya kupewa kindugu hawezi kuwa independent...ni mnafiki sana na hajui kama meli aliyopanda inazama
 
Nilichogundua ni kwamba huyu jamaa si mpiganaji wa kweli,ni zaid ya mnafiki,na zaidi ya unafiki ni mtu mwenye uchu wa madaraka. Inaonekana waz kwamba anajipendekeza ili awe ktk baraza la mawaziri lijalo kama lililopo. Sina iman nae tena
 
Na badala ya kumlaumu mtu mmoja tena kupitia keyboard, tungeinngia mitaani kudhihirisha hili lakini hiyo courage hatuna! So let them disagree on methods but still have a common goal!

Still that haiondoi dhana kuwa katika suala zima la mawaziri kujiuzulu alichemka.
Method aliyochagua failed miserably.
Claiming issue ya Zitto ilikuwa a publicity stunt alichemka sana.
Because now it is completely the opposite. Yeye ndiye anayeonekana kuchemka.
Alichokuwa anataka kufanya au kutegemea kutoka kwenye Caucus yao was publicity stunt.
Alisema tusubirie kwenye vyombo vya habari tutaona results lakini mpaka leo hola.
Bado ni mdogo sana kwenye uwanja wa siasa. Hajakomaa kisiasa bado.
He still has got a long way to go.
I hope atakuwa amejifunza kitu kwenye sakata la mawaziri kudaiwa kudaiwa kujiuzulu though the damage has already been done.
 
Unajua tatizo ni ufinyu wa upembuzi wa mambo kwa wabunge wa CCM (Baadhi) kwani kwa sasa CCM haiwezi kuamua nani awe mbunge, uthibitisho tunao, we angalia kuanzia kwa shibuda na Arumeru! Kwa mwanasiasa mjaja alitakiwa amsapoti Zitto ili kujiwekea ngome bungeni, kwa sasa hata mi nikienda mfano kwa January na kusema ni fisadi anasapoti mafisadi wananchi watanielewa na nitawapa ushahidi wa sahihi za wabunge, ila vijana kama Njombe ni mjaja sana maana hao waliotia sahihi wamejijengea jina kubwa miongoni mwa wapiga kura
 
 
When you speak badly of someone, make sure you put down the reasons why you do so.
 
Huyu bwana mdogo ameonyesha tabia za kizee sana ya fear for unknown tofauti na watu wa hirimu yake. Kipimo cha Zitto kimewaengua wabunge wengi tuliokuwa tunadhani ni wazalendo kumbe ovyo!!! chini ya m/kiti January Makamba. Ameonyesha wazi hana lengo la kuwatumikia waTZ bali maslahi binafsi
 
Tumsubiri arudi toka Stavanger Norway tar 28 a-tweet hoja hizi kama alivyo tweet hio anayoita 'publicity stunt'. Shame on him
 
yule sio kiongozi ni kibaraka tu,kapewa shavu familia yao isife njaaa wezii haooo
 

Ni kosa kubwa sana tena ni zarau ya hali ya juu kumlinganisha Januari na Zitoo na mbaya kama atahusishwa na nafasi ya juu ya uongozi aidha wa kichama au hata Kiserikali.Historia yake ya shule na mifumo ya utendaji kazi wake haioneshi kama anaweza kuwa hata katibu tarafa.Ajabu amekuwa mwenyekiti wa kamati tena kamati mama ya kukuza uchumi na kusaidia maendeleo ya Taifa. Huu ni mzaha wa hali ya juu.Duniani kote nishati na madini ndio msingi wa uchumi.Soma Historia za chumi kubwa duniani ukianza na Marekani, Ujerumani, Uingereza na kwingine hakuna hata mmoja aliyefanikiwa nje ya matumuzi bora ya nishati na madini. Kwetu sisi wanaleta mzaha.Kuna haja ya kujifunza kutoka kwa Chelsea.Haya mambo yanawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…