Anguko la Clouds TV naliona

Anguko la Clouds TV naliona

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,520
Reaction score
2,059
Wana bodi habarini...?

Hili naliona kutokana na WASAFI TV, kuja kwa kasi na kdhihirisha kuwa ndo redio pendwa currently, kwa kuwa na vipindi vya Moto kama BIG SUNDAY LIVE,booonge moja la kipindi.

Hasa vijana, wameonekana kunielewa hii WASAFI TV yaani hawaambiliki wala kukamatika. Na hii inatokana na clouds tv kukosa content nzuri hasa wanazopenda vijana. mfano, hawatoi taarifa zozote kuhusu WCB na burudani kwa ujumla.

N. B:Ni maoni yangu na sio lazima tukubaliane, but soon naliona anguko la Clouds tv(That rise of WASAFI TV and fall of Clouds tv).

lilommy_20200720_7.jpg
 
Kwani zote haziwezi kuwa juu? Kwani clouds kuwa juu alianguka nani?
Mbona mnapenda kuwa juu peke yenu kwa nini wote msiwe juu.
Yaani unataka mafanikio kwa kumuangusha mwenzio.👎👎👎👎
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] weee kijana hebu jipe pause kwa muda, mambo ya Clouds huyawezi, utakuja kuwa chizi bureeeeh kwa kuendeshwa na mahaba yako mazito kwa WCB, relaaaaaaaaax
 
Hizi wanazopitia ni changamoto baada ya kuondokewa na kiongozi wao ila Clouds bado wapo vizuri.Japokuwa Wasafi wanafanya vizuri ila wana mengi ya kujifunza kutoka kwa Clouds.

Ni kweli na kingine Ukubwa wa clouds ni radio sio Tv yaani at least siku hizi wamejitahidi kuweka vipindi na hata graphics zimekaa fresh..

Sijui nani yupo nyuma ya vipindi vya wasafi ila sijui kama ataweza kwenda sawa na nchakali
 
Kwani zote haziwezi kuwa juu? Kwani clouds kuwa juu alianguka nani?
Mbona mnapenda kuwa juu peke yenu kwa nini wote msiwe juu.
Yaani unataka mafanikio kwa kumuangusha mwenzio.[emoji107][emoji107][emoji107][emoji107]
Ni competition, so lazima mmoja awin na mwingien aloose.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] weee kijana hebu jipe pause kwa muda, mambo ya Clouds huyawezi, utakuja kuwa chizi bureeeeh kwa kuendeshwa na mahaba yako mazito kwa WCB, relaaaaaaaaax
Tukia wewe Usiwabishie TCRA
lilommy_20200720_7.jpg
 
Ni kweli na kingine Ukubwa wa clouds ni radio sio Tv yaani at least siku hizi wamejitahidi kuweka vipindi na hata graphics zimekaa fresh..

Sijui nani yupo nyuma ya vipindi vya wasafi ila sijui kama ataweza kwenda sawa na nchakali
Wasafi ni moto wa kifuu
 
Back
Top Bottom