Anguko la CCM halizuiliki na linakaribia

Kifo cha CCM ni katiba mpya..na wanalijua hilo ndo maana wanang'ang'ana. Lakin haisaidii.. baada ya alichotufanya mwendazake,hadi wale wahafidhina wamekuja kuona katiba mpya haihepukiki ili kuja kudhibiti mwingine kichaa kuliko huyu mwendazake
 
Asili ya ccm ni muunganiko wa vyama vya kichawi kabla ya uhuru vilivyopelekea kuzaliwa kwa chama cha TAA muunganiko huo ukaeenda wee ukipitia mabadiliko mbalimbali hadi ikazaliwa ccm.
Ili ccm ife ni lzm katiba mpya,ambayo ni ndoto mccm yeyeto kuruhusu hii kitu.
 
Mwenyekiti mteule polepole alishamtangaza anasubiri kupitishwa.
Nje ya chama ni raisi lakini haibadilishi kuwa ni mwenyekiti mteule. Haiwezi ipeleka chadema ikulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…